Kwa mtazamo wangu hizi ndio picha za kishamba:
1. Kupiga picha umeshika soda
2. Kupiga picha ndani ya gari, malango wazi, umeshikilia sterling, na unamuangalia mpiga picha.
3. Kupiga picha umesimama kando ya TV
4.....endelezeni
"[[/QUOTE]Kuleta uzi usio na mashiko wakati Taifa liko katika wakati mgumu mno ambapo watawala wanafanya watakayo pasipo kujari wananchi.Huo nao ni ushamba''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.