Mpwa wapi wewe hebu pitia huku tasavali
Huyu bila shaka ni masai dada
hahahhahahahh
longido hapo
Huyo Mmarangu hajawahi kufika Longido ila anajiita Masai Dada. Msamehe BureNimeishi longido for six years hapo, napajua vizuri sana
Nimeishi longido for six years hapo, napajua vizuri sana
Huyu bila shaka ni masai dada
woooow
unapajua kule mlimani karibu na shule ya msingi kuna visima vya maji alafu kuna maziwa sana
i misss the place
and barabara imemalizwa kitambo sana sijaenda kule
am dyn mis that plc
Kwenye visima vya maji tulikuwa tunapaita dimbwi, kipindi cha kiangazi shida ya maji tulikuwa tunashinda huko tunatafuta maji kwenye hivyo visima, pindi maji yalikuwa yanaleta shida tunapanda juu ya mlima kuzibua yapite vizuri, barabara ya kwenda namanga ipo poa sana kama ulaya hasa ukipita wakati wa usiku
umepatia kabisa.
nitakupeleka longudo