Powerful encryption, every hacker, pentestER, researchers must know (bypass all antivirus)

bro kuna kitu hawa IT expert hawakielewi...My personal opinion of the IT security arena is that it should be formally separated into two distinct fields “Defensive Security” and “Offensive
Security” sasa hawa jamaa huwa wanafeli hapo tu.. yaani wako too Defensive na hawaelewi lolote kuhusu Offensive security.

intelinside Thefreedom
 
Na ndichooo nilichoongea juu kwamba hawa wanafanya programming katika njia sahihi ambazo zinafunzwa class ila sisi tunafanya programming hata kama ni non sense ila kikubwa tuweze pita kwenye system


Na ndo kitu nilichoposhana na huyooo jamaaa wa juuu kule ...anabisha wakat hii kitu ipo 100% inawork
 
jamaa yupo kishule shule sana..anasahu hizo technologies kabla hazijaingia shuleni zinagunduliwa ijne ya mfumo wa shuleee.
 
Mimi nashangaaa ulipoteza time yako kujibizana nae Thefreedom , inaonekana jamaaa yeye ni mzuri but inforward way na inreverse way hayuko vizuri.... By the way was good challenge to youu..... Endelea kukaza mzee na tuzidi kuelimishana..... HAKUJA KWA LENGO LA KUKUWEKA SAWA, ALIKUJA KUKUDISTURB MIND MZEE.... ILA NIMEKUBALI WEWE ULISIMAMA.. YEYE AKALALA CHALI


Keep it up bro Thefreedom
 
mkuu uyu jamaa hakuja kwa lengo la kukuelimisha ,amekurupuka huko na mihemko yake na ma ego yake kaanza kukutusi,usipoteze mda kubishana nae ,piga block asipate access ya uzi wako wowote hana analoweza kusaidia, amevimba libichwa na kujifanya yeye peke yake ndo anajua kila kitu kuliko Watanzania wote kumbe mpumbavu tu.!
 

Sure man

Unajua wengi wanahisiii hacking ni kile unachojifunza from college kumbe ni kinyume chake


Acha tupige kazi nisha mformat mda tu
 
Thats your personal stupid opinion hujui chochote kuhusu online security, kabla ya kuanza defense nilikua offense, nimehack hadi cryptocurrencies nikapiga hela za watu, I know exactly what I'm talking about, we hujui hata kinachoongelewa nini unajifanya unajua kuchangia, unasupport kureverse hash functions? hahaha stupid people keep on being stupid, ingia google soma.
 

Weee jamaaaa unachekeshaa sana ...... nmekupa like unyamaze maaana unaongea snaa


Alafu umesema umeniblock sasa umerud kufanya nn

Hahaha hizo cryptcrrncs ndo unahisi umemaliza hapo !!?



Mzeeee weee endelea tu mambo yako ... NIMEKUBALI NITARUD SHULE


Tumalize kiiivo
 

Yani ungekuwa wa maaana mda unaotumia kukejerii hapa ungetuma hizo assumptions zako kwamba hiki hakiwezekan fanya hiki watu wengine wapate manufaaa sio unakuja unakurupuka mcrash mtu kwa facts sio maneno mdogo wangu
 
Ngoja niseme kitu, sitaki kuwa shabiki coz wengi wanakoment kwa ushabiki kama huyu Rog chimera

Thefreedom ulichoongelea kwenye uzi huu kuna mahala uko sahihi na kuna mahala kiukweli umezingua. Hashing inatumika tu kuhakikisha kama file au contents fln bado zipo kwenye original state. Nikupe mfano, nenda kwenye download page ya Java for windows utakuta umewekewa pale hash ya hilo file. Hio inasaidia ww kuhakikisha kama file ulodownload ndio lilelile au limefanyiwa modifications ambazo hazitakiwi coz hashing hata ukibadilisha nukta tu kwenye original contents basi utapata kitu tofauti kabisa.

Mkuu Graph yuko sahihi kwa point zote alizoongelea kama vile md5, gzip etc... so ingekua vema tu kama ungetumia alichosema kujazia uzi wako ili uwe bora zaidi.

Matusi, kejeli, lugha ya kihuni haifai kudiscuss vitu professional kama hivi. Ukweli ni ukweli tu siku zote "Huwezi pata original content kutoka kwa hash hata siku moja. Kama vipi nikupe hash basi ya iso file ya parrot then unitengenezee hilo og file la parrot kutoka kwenye hash"


Any way, Long time no see mkuu Thefreedom
 

Sijakaaataaaa ila sasa anaglia kejeli za kwanza alizokuja nazo .... mtu kama kwenye uandishi kakosea unamwambia bana sehemu sio andika hivoo lakn yeye kaja kwa style ambayo ni wazi ni kucrash uzi mzima .... unajua umu kuna begginer wengi sasa watajifunza nn kwenye uzi kama wewe umeucrush .... nilichotegemea ni yeye aje aweke sawa kwamba fanya hivii iwe hivi wnegine wanufaike

Ila mtu unakuja unasema kitu hakipo na iweze tokea wakt hii mambo nimefanya na imekuwa success

Kwneye swala la hash nakubali ndio zipo na nyingi tu mpka nakutana nazo ila nilichokuwa namwambia issue za md5 hasa hashes ambazo ni non salted ni easy ku crack pamoja zingine zinakuwa haziwekzan kutoknaa na tabia na familia yake

Ila jamaaaa naona anakuja sijui nirud shule haahahhaa yani humu JF ukimpinga mtu njooo na hoja zako wengine wanafaike thatz it . Hacking ni pana
 
mkuu je md6 nayo vipi kwenye security upande wa hashing?
 
Asee... beginners tunaangalia ila kuna raia wanajikuta wanajua sana na wanakauli kama za kina Salima na Mwajuma ,,kama unaona mtu kaenda OP toa ufafanuzi mzuri .
 
Asee... beginners tunaangalia ila kuna raia wanajikuta wanajua sana na wanakauli kama za kina Salima na Mwajuma ,,kama unaona mtu kaenda OP toa ufafanuzi mzuri .
 
kuna kirusi kipya kina encrypt files kinaitwa ransomware chenye extension ya QCSX nani mwenye ufundi nacho wa namna ya kuki-fix ili niweze ku decrypt data zangu?

Audio na picha nimefanikisha kuzi backup, lakini ma files mengine yenye format tofauti na hizo bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…