Alpha Blondy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2018
- 282
- 387
Wakuu niwape salamu wote,
Naomba kuuliza powerbank ipi ni nzuri, nahitaji msaada wenu,
Nataka ninunue ila sijajua brand gani inafaa zaidi,
Bajeti yangu ni 30,000
Naomba kuuliza powerbank ipi ni nzuri, nahitaji msaada wenu,
Nataka ninunue ila sijajua brand gani inafaa zaidi,
Bajeti yangu ni 30,000