Shenkalwa
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 580
- 132
THREE power generation companies have reiterated that 137 megawatts will be pumped into the national grid before the end of this month, to ease the current 300MW deficit the country is facing. The firms said this during a meeting convened by the Minister for Energy and Minerals, Mr. William Ngeleja at his office in Dar es Salaam. The meeting was attended by representatives of Aggreko, Symbion and Jacobsen, major producers of emergency electricity to learn on the progress made so far in reducing the deficit. (Source: Daily News 13 Sept.2011).
Tunaendelea kuchezewa kama mazuzu. Tumeshaonekana watanganyika ni wadanganyika. Huyu ngeleja ameshajiona yeye ndiye mwenye akili peke yake na wengine wote mazuzu. Juzi juzu alitupa matumaini kuwa mgao utakuwa na nafuu baada ya siku mbili badala yake mgao ndiyo ukawa mkali zaidi. Leo anakuja na ujinga mwingine. Shame on him
Tunaendelea kuchezewa kama mazuzu. Tumeshaonekana watanganyika ni wadanganyika. Huyu ngeleja ameshajiona yeye ndiye mwenye akili peke yake na wengine wote mazuzu. Juzi juzu alitupa matumaini kuwa mgao utakuwa na nafuu baada ya siku mbili badala yake mgao ndiyo ukawa mkali zaidi. Leo anakuja na ujinga mwingine. Shame on him