Power Bank: Nini muhimu cha kuzingatia?

Power Bank: Nini muhimu cha kuzingatia?

AgentX

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
1,651
Reaction score
1,700
Tunaona matumizi ya powerbanks na matumizi ya simu kutumika ktk chaji yamekuwa mengi sana....

NADHANI TUTAKUWA TUMEONA HII HABARI.
Nini cha kuzingatia ktk hili swala?
Specs gani muhimu kuepuka swala kama hilo .
 

Attachments

  • 1432925749198.jpg
    1432925749198.jpg
    8.9 KB · Views: 1,073
Hususani hivi vifaa. Manake inatuladhimu. Kuwa makini sana .. Wataalamu. Karibuni
 
Ilikuwajekuwaje........?......tufafanulie.........
 
sijaiona hio habari na sijui kama ni kweli au la, ila most of powerbank tuseme 99% ni fake. kampuni kubwa nyingi hazitengenezi powerbank na kama zinatengeneza utakuta zina mah ndogo sana around 2000mah au zikizidi sana ni 5000mah.

vitu vya kuangalia kwenye battery/powerbank vikubwa ni viwili ambaavyo ni
1. capacity- hii hupimwa kwa mah na jinsi inavyokuwa kubwa ndio capacity inavyokuwa kubwa
2. ubora wa cell - hichi ndio cha muhimu na ndio ni kigumu kukijua, ni cell gani zimetumika kutengeneza hio powerbank? huwezi kuta imeandikwa popote pale hivyo unanunua na kueka bomu ndani.

ushauri, kama unanunua powerbank na una laptop ni bora tu utafute battery nzuri ya laptop then uitumie laptop kama powerbank, laptop yako itakaa sana na chrge na hutapata shida ya kuchaji simu umeme ukikatikA
 
Matumizi pia..., utawekaje power bank mwilini mwako wakati ikichajiwa au unachaji simu yako..?!

Power bank ni muhimu sana kwa smart phones ambazo haziwezi kuhimili kuweka chaji kwa muda mrefu au kama simu ina matumizi makubwa ambayo yanapelea chaji kuisha haraka na pengine hauko karibu na chanzo cha kuchajia.
Pia kwa umeme wetu wa bongo usioeleweka inasaidia kuchaji simu kwa mara kadhaa kabla ya umeme kurudi!
 
sijaiona hio habari na sijui kama ni kweli au la, ila most of powerbank tuseme 99% ni fake. kampuni kubwa nyingi hazitengenezi powerbank na kama zinatengeneza utakuta zina mah ndogo sana around 2000mah au zikizidi sana ni 5000mah.

vitu vya kuangalia kwenye battery/powerbank vikubwa ni viwili ambaavyo ni
1. capacity- hii hupimwa kwa mah na jinsi inavyokuwa kubwa ndio capacity inavyokuwa kubwa
2. ubora wa cell - hichi ndio cha muhimu na ndio ni kigumu kukijua, ni cell gani zimetumika kutengeneza hio powerbank? huwezi kuta imeandikwa popote pale hivyo unanunua na kueka bomu ndani.

ushauri, kama unanunua powerbank na una laptop ni bora tu utafute battery nzuri ya laptop then uitumie laptop kama powerbank, laptop yako itakaa sana na chrge na hutapata shida ya kuchaji simu umeme ukikatikA

Sasa laptop utasfiri nayo mkuu
 
Nunua betri nyingne utembee nayo
 
Hivi cases za accident za power bank ni nyingi kiasi cha kuziogopa?
 
Hiyo picha iliondoa matumaini yangu ya kununua power bank
 
Mkuu. Hiyo imetokea tanzania... Ni vizuri kuwa makini kabla hujawa matatizoni... Sio mpaka uone nani kafa kuhusu powerbank. Pengine hata uliyonayo inaweza kukuua Jerrymsigwa
 
Last edited by a moderator:
CHIEF MKWAWA nafahamu somo. Kuhusu chaji. Ulitupa somo hilo humu. Mimi ninayo ya apple.... 4000mAh. Ila hii ni fake. Nataka ninue mpya je zipo official zipi? Ukiachana na PUKU
 
Last edited by a moderator:
CHIEF MKWAWA nafahamu somo. Kuhusu chaji. Ulitupa somo hilo humu. Mimi ninayo ya apple.... 4000mAh. Ila hii ni fake. Nataka ninue mpya je zipo official zipi? Ukiachana na PUKU

samsung anayo mah 9000 now amazon ni dola 60 (120,000) ikifika tanzania bei itazidi kuwa kubwa. anayo nyengine 3100mah kwa dola kama 20 (40,000) ikifika huku pia tegemea bei kubwa. hizi kuzipata ni ngumu huku utakuta fake zake. wafanya biashara wetu wanajali faida kubwa tu na tbs wamelala.
Amazon.com: samsung powerbank

microsoft/nokia pia wanazo nafkiri ni mah 1700-2000 ni ndogo sana pengine zichaji simu mara moja tu.
Nokia-Universal-Portable-USB-Charger-DC-18-jpg.jpg

unaweza cheki midcom hapa tanzania wanaweza kuwa nazo
hicho kidogo ni kama dola 15 (30,000) kuna kubwa yake ya round ni dola 30 (60,000)

xiaomi pia wanazo powerbank ila hizi ndio fake zake ni nyingi kupindukia mpaka uipate original ni kazi. kama unazitaka itabidi uagizie toka store zao official
 
Last edited by a moderator:
Vipi hii chiefmkwawa[ATTA IMG-20150530-WA0003.jpg IMG-20150530-WA0003.jpg CH=CONFIG]255834[/ATTACH] IMG-20150530-WA0003.jpg IMG-20150530-WA0003.jpg IMG-20150530-WA0003.jpg
 
Last edited by a moderator:
matumizi pia..., utawekaje power bank mwilini mwako wakati ikichajiwa au unachaji simu yako..?!

Power bank ni muhimu sana kwa smart phones ambazo haziwezi kuhimili kuweka chaji kwa muda mrefu au kama simu ina matumizi makubwa ambayo yanapelea chaji kuisha haraka na pengine hauko karibu na chanzo cha kuchajia.
Pia kwa umeme wetu wa bongo usioeleweka inasaidia kuchaji simu kwa mara kadhaa kabla ya umeme kurudi!

huyo tarehe yake ilishaandikwa . Ila hata hizi cm ni hatari. All lithium batteries explode if mishandled.
 
KisomaX nokia mwenyewe kaacha kutengeneza simu wao hizo battery wamezipata wapi? hizo battery ni 800-1000mah zipo simu siku hizi zina hadi 5000mah na zipo hadi za makampuni makubwa zenye 4000mah hivyo why ununue simu kama hio?

pia wingi wa battery haumaanishi simu kukaa na chaji, kuna simu zina 2600mah zinazipita simu zenye 4000mah. ukipata simu ambayo ipo optimized vizuri kama sony xperia z3c tabu yote hio itaisha
 
Last edited by a moderator:
KisomaX nokia mwenyewe kaacha kutengeneza simu wao hizo battery wamezipata wapi? hizo battery ni 800-1000mah zipo simu siku hizi zina hadi 5000mah na zipo hadi za makampuni makubwa zenye 4000mah hivyo why ununue simu kama hio?

pia wingi wa battery haumaanishi simu kukaa na chaji, kuna simu zina 2600mah zinazipita simu zenye 4000mah. ukipata simu ambayo ipo optimized vizuri kama sony xperia z3c tabu yote hio itaisha

Tetesi za simu.. Za nokia za mwisho zipoje..??.. Naona optimizations ya charge ktk android M. Itawafaaa sana au unasemaje.... Kuelekea kwa mwisho wa nokia phones mwakani
 
Last edited by a moderator:
Chief-Mkwawa hivi ni halali power bank ya 1200mAh kuuzwa 50k inaitwa expode
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom