Naikumbuka.
Kwanini unadhani sisi ni maskini?
ooh nitakwambia kwa nini sisi masikini, sababu kuu ya kwanza ni kwamba baada ya ukoloni tulifundishwa na kuaminishwa kwamba Christians waliotutawala na kuleta mambo mengi mazuri ambayo
kabla hayakuwepo kwamba ni adui na wanyonyaji.
hivyo baada ya uhuru jitihada kubwa zilifanyika kureverse western Christian way of life na kuleta uafrika ambao ulikuwepo miaka nenda rudi
kabla ya Christians kuja na haukutupeleka popote, hilo ni kosa kubwa na linatugharimu mpaka leo hii kwani uchumi wote wa dunia unafwata Christian (western) way life ina maana we swim against the tide sasa unlike waasia ambao walikuwa wanajifunza kwa wazungu ili waelewe kwanini wazungu waliwazidi nguvu na kuwatawala sisi tulijikita kwenye ku-reverse na kutaka uafrika kosa ambalo hata ak analifanya leo hii na anc wanataka kufukuza wazungu na kuweka waafrika.
hivyo moja kati ya sababu kuu ni hiyo na downspiral ilianzia hapo, tulibomoa kila mfumo tuliuita wa kikoloni na kuweka wa kiafrika mfano wakati wa Christians haikuruhusiwa kujenga nyumba kabla ya serikali kuweka miundo mbinu kama barabara, maji, umeme na centralized sewage system sisi tukaona ni ukoloni tukafuta leo hii dar karibia yote unplanned na slums, kwamba mtu kwenda kujenga kwa mfano maeneo yasiyo rasmi huo ni “utu” na ukimzuia na kumuondoa wewe ni katili na dhalimu unaleta “ukoloni”.
mzee kingunge alilielezea vizuri sana hili, alisema waasia wanajifunza mbinu kwa nini wazungu waliwazidi na kuiga sisi tunaona wazungu ni maadui na kuwapinga lkn viongozi wanaowaita wakoloni wabaya wao na familia zao wanaishi maisha ya kizungu lkn wanawaambia wengine mzungu mbaya.
hivyo hiyo ni sababu mojawapo kubwa kwa nini sisi ni masikni na hakuna maendeleo wakati asia wanaendelea …