Tatizo bando limekuwa ghali ningekuwekea picha hapa,ushangae kidogoMkuu hakuna huo umasikini unaosemea wewe ..Qatar sijaona aide omba omba na life liko poa tu ..sema Jua ndo usipime dah
Aliyekwambia ulevi unaleta umasikini ni nani??.Ni kazi ngumu sana kuondoa masikini wote katika nchi maaana binadamu wenyewe tabia mbovu hatuachi mfano ulevi
Hata bongo ni hivyo hivyo Mbona!!!.Marekani tabu sana.
Matajiri wembamba, masikini wanene!
Una uhakika?Sio kweli mkuu, Qatar, UAE, Brunei hakuna maskini
Basi huko ni kwa kwenda kuishi.Vipi taratibu zao zikoje ukitakwa kwenda kuishi huko??.Ni kweli mkuu nipo qatar hapa hawa jamaa wana pesa aise? Halafu don care kinoma, hawajali wewe ni mzungu mwafrika mchina ..yani wao wako na mambo zao tu.
unaposema maskin kwneye hizo nchi utakiwa uangalie umaskin wao wako down kiasi gani.Sio kweli mkuu, Qatar, UAE, Brunei hakuna maskini
Aliyekwambia ulevi unaleta umasikini ni nani??.
Fanya research vizuri wanywa pombe za gharama wengi ni watu gani?,na wanywa soda wengi ni watu gani kisha urudi hapa jukwaani.Ukiwa mlevi hela za mtaji utalewea mipombe wakati mtu ambae sio mlevi kupotea tu hizo hela sijui kwa sababu zipi hela zitapotea
Qatar kuna umasikini wa kutisha,ni vile wenzetu hawapendi kuonyesha sehemu mbaya,wao watakuonyesha maghorofa tu
Ni kweli mkuu nipo qatar hapa hawa jamaa wana pesa aise? Halafu don care kinoma, hawajali wewe ni mzungu mwafrika mchina ..yani wao wako na mambo zao tu.
Una uhakika?
Dah!!, Itabidi kuhamia huko aisee.Kijana hizo nchi nilizozitaja we ziache tu, mtu kulipwa mshahara milioni 20 za kibongo ni jambo la kawaida tu.
unaposema maskin kwneye hizo nchi utakiwa uangalie umaskin wao wako down kiasi gani.
unaweza kuta maskin wa huko huku tukamuona mwenye kipato cha kati.
Anasikia tuumefika mzee au unasikia
Dah!!, Itabidi kuhamia huko aisee.
Ajira zinapatikana??.Ningumu sana ku satle vizuri, life ipo very expensive kwa wageni.
Ila wapo wapambanaji kibao wanaotisua, kama wa hindi wengi tu wanapiga hela ya maana kwenye hiyo miji
yes after all america ni moja ya nchi zenye uchumi mkubwa dunian.Halafu utaona mijitu inasema bora ni "storway" USA maisha ya bongo hayaeleweki!!!