stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,913
- 14,675
Wazazi wetu walifanya kazi sana na wakalipwa na noti zenye picha ya nyerere, mshahara wa mtu mzito enzi izo ilikua buku, kwa mahesabu ya haraka haraka kwa pesa ya leo ni ~500k
miaka 20 mbele kuna watu walitunza izo pesa, mitaani bado zipo lakini hio buku utaikubali kama mshahara saaahv? jibu ni hapana! mfano huu unaelezea jambo zito ambalo binadam wengi hawalitambui, UCHUMI ni nadharia ya jamii na sio thamani halisi ya kazi, tukichukua mfano huu kwa kazi ile ile aliokua anafanya mtu miaka ya 80 akaileta miaka ya 2000 basi hio buku nadharia yake ni haina thamani sawa na kazi ninayofanya, miaka 15 mbele hizo pesa unazofanyia savings ama kuzipigania kwa jasho itakua ni kituko kwa vijana wa miaka ya 2050
Ni aibu kuona mtu anagombania ajira ama kutafuta ajira kwa nguvu sana, maisha yana thamani kubwa sana na ni ya mda mfupi, unachokipigania sana kwa kujinyima usingizi na mda wa kukaa na familia thamani yake huisha kwa mda mfupi sana, vijana epukeni mtego wa kupenda ajira, tengeneza thamani kupitia kazi yako, kama utaweza kutengeneza kazi yako binafsi kwa mfano kama utakua una biashara ya kuuza chakula basi hata miaka 30 mbele thamani ya kazi yako ipo pale pale utaamua uchukue noti zenye zero ngap kutokana na huo mda, pia thamani hio ni rahisi kuhamisha kwa watoto wako, tujipende PESA haiwezi kuhesabika kama thamani halisi ya uhai na nguvu zako
kwann natoa huu mfano
miaka 20 mbele kuna watu walitunza izo pesa, mitaani bado zipo lakini hio buku utaikubali kama mshahara saaahv? jibu ni hapana! mfano huu unaelezea jambo zito ambalo binadam wengi hawalitambui, UCHUMI ni nadharia ya jamii na sio thamani halisi ya kazi, tukichukua mfano huu kwa kazi ile ile aliokua anafanya mtu miaka ya 80 akaileta miaka ya 2000 basi hio buku nadharia yake ni haina thamani sawa na kazi ninayofanya, miaka 15 mbele hizo pesa unazofanyia savings ama kuzipigania kwa jasho itakua ni kituko kwa vijana wa miaka ya 2050
Ni aibu kuona mtu anagombania ajira ama kutafuta ajira kwa nguvu sana, maisha yana thamani kubwa sana na ni ya mda mfupi, unachokipigania sana kwa kujinyima usingizi na mda wa kukaa na familia thamani yake huisha kwa mda mfupi sana, vijana epukeni mtego wa kupenda ajira, tengeneza thamani kupitia kazi yako, kama utaweza kutengeneza kazi yako binafsi kwa mfano kama utakua una biashara ya kuuza chakula basi hata miaka 30 mbele thamani ya kazi yako ipo pale pale utaamua uchukue noti zenye zero ngap kutokana na huo mda, pia thamani hio ni rahisi kuhamisha kwa watoto wako, tujipende PESA haiwezi kuhesabika kama thamani halisi ya uhai na nguvu zako