Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Bara, John Heche atazungumza na Watanzania kupitia mkutano na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa.
Pia soma ~ Polisi wazuia press ya Heche Dar
Pia soma ~ Polisi wazuia press ya Heche Dar