POSTINOR: Morning After pills...

POSTINOR: Morning After pills...

Last edited by a moderator:
Hata mimi nimeshavisikia kwa rafiki yangu; siviungi mkono...ni sawa na kutoa mimba tu; maana vinafanya nini kama si kuua kiumbe cha siku moja?

Sikumbuki vizuri maana ni muda lakini ni kama vile wakati ananambia alisema ana stop kwa kuwa amesoma mahali kuwa vina madhara...kansa kama niko sahihi...ngoja tu google.


Inategemea na imani yako, yangu hainiambii kuwa ni jambo zuri.
 
Hata mimi nimeshavisikia kwa rafiki yangu; siviungi mkono...ni sawa na kutoa mimba tu; maana vinafanya nini kama si kuua kiumbe cha siku moja?

Sikumbuki vizuri maana ni muda lakini ni kama vile wakati ananambia alisema ana stop kwa kuwa amesoma mahali kuwa vina madhara...kansa kama niko sahihi...ngoja tu google.

@nyumba kubwa kiumbe kinaanza kuitwa kiumbe wakati gani!??

Suppose inatumiwa masaa 12 baada ya tendo, au masaa sita baada ya tendo...kuna kiumbe kunakuwa kimeuliwa hapo!??
 
Back
Top Bottom