Nimemsikia jamaa mmoja ambaye anaweza kuaminika kuwa post zitakuwa Feb na zikibadilika itakuwa June ikishindikana nayo basi jipe moyo, Maisha yanawezekana kila kona
unajiajiri bila mtaji? ukienda bank kukopa wanakugeuza kama cnema ya mwaka, wanaona kama umerukwa na akili, wanakuchukuliaje cjui na mwisho wa cku hata hutosikilizwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.