Posti za mifugo na uvuvi

Posti za mifugo na uvuvi

Clemoo

Member
Joined
Nov 27, 2011
Posts
72
Reaction score
16
Dah wakuu kwa wanaofahamu lini wizara ya mifugo na uvuvi itaajir naomben taarifa manake 2meshasota sana kitaa ..
 
Nimemsikia jamaa mmoja ambaye anaweza kuaminika kuwa post zitakuwa Feb na zikibadilika itakuwa June ikishindikana nayo basi jipe moyo, Maisha yanawezekana kila kona
 
hivi haiwezekani kujiajiri vijana, tutasubiri ajira mpaka lini?

unajiajiri bila mtaji? ukienda bank kukopa wanakugeuza kama cnema ya mwaka, wanaona kama umerukwa na akili, wanakuchukuliaje cjui na mwisho wa cku hata hutosikilizwa
 
Back
Top Bottom