Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 700
Salaam nakuta posta ya Tanzania imeanzisha mfumo wa kuipa kila kata na kijiji namba fulani inayoitwa "Post Code" au "Postal Code" kwa Kiingereza.
(tazama hapa https://www.tcra.go.tz/index.php/publication-and-statistics/postcode-list)
Je tunalo neno la Kiswahili kwa namba hizo?
(tazama hapa https://www.tcra.go.tz/index.php/publication-and-statistics/postcode-list)
Je tunalo neno la Kiswahili kwa namba hizo?