Wacha nile bataaa mpaka kuku waone wivu miaka minne shuleni then hz miez 6 tu ngoja tu nile raha za kitaa zikitoka tunaenda skul zikichelewa tunazidi kuchelewa so nawashauri form 4 lever wenzangu nyie kuleni bata tu coz naskia ukifika huko utakumbuka kwenu
Wacha nile bataaa mpaka kuku waone wivu miaka minne shuleni then hz miez 6 tu ngoja tu nile raha za kitaa zikitoka tunaenda skul zikichelewa tunazidi kuchelewa so nawashauri form 4 lever wenzangu nyie kuleni bata tu coz naskia ukifika huko utakumbuka kwenu
Ukipangiwa shule uliyojaza ujue ipo karibu na kwenu.
na mbwembe za wanafunzi kujifanya hamtaki kusoma karibu na kwenu mtaisoma vizuri.
Siku hizi mambo yamebadilika sana, mpaka necta wananzisha kampeni yakuua physics kwakuweka topic za P1 kwenye P2 na p2 kwenye p1 bila ata ya tarifa kama walicyofanya mwaka huu.
Post zitatoka kabla ya wiki tatu kwenda shule ila usishangae kupangiwa HKL uliyejaza PCM na kupelekwa Songea boys uliyejaza Minaki.
Ukipangiwa shule uliyojaza ujue ipo karibu na kwenu.
na mbwembe za wanafunzi kujifanya hamtaki kusoma karibu na kwenu mtaisoma vizuri.
Siku hizi mambo yamebadilika sana, mpaka necta wananzisha kampeni yakuua physics kwakuweka topic za P1 kwenye P2 na p2 kwenye p1 bila ata ya tarifa kama walicyofanya mwaka huu.
Post zitatoka kabla ya wiki tatu kwenda shule ila usishangae kupangiwa HKL uliyejaza PCM na kupelekwa Songea boys uliyejaza Minaki.
Mimi nilichaguliwa Same sec..sikuichagua..ila sababu ipo Same ambapo ni karibu na kwetu Tanga nkapelekwa pale..nilichagua Mzumbe, Kibaha na Ilboru..sikupelekwa na matokeo yang ya olevl katka PCM niliyochagua yalikua
Phys-B
Chem-A
Maths-A
Bado nilipelekwa same..na kuna watu waliopelekwa shule nilzochagua kwa matokeo mabaya zaid ya hayo..
Kwahyo hawa jamaa HAWAELEWEKI
Usiwaze kama kombi uliyochagua imekaa vizuri, utaenda hata kwa kuhama, ila usikute kombi ipo mlegezo, utasugua hapohapo..., mim lilinikuta nilipangwa mwenge singida shule ambayo hata jina lake sikuwahi kulitaja,,,,, shukuru kwa kuchaguliwa kwanza