Post za JKT za kujitolea lini zinatoka?

Post za JKT za kujitolea lini zinatoka?

mm nimegraduate tangu 2011, npo jeshin, nimejaribu kusema ukwel wa mambo, nafas za kujitolea jkt ztatoka tena mwakan, atakaeweza aingie, hasa graduate, nae atakuja kutoa ushahd wake siku moja.

duuh mbna unanitisha na mm intake ijayo nimeshapata pande la kuingia huko
 
sasaaa jamani jkt wakujitokea munamaaanishaaa niniii

Jkt wa kujitolea maana yake, ni kufanya kazi kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kuhitimu mafunzo ya jeshi(jkt), utafanya kazi ya kujitolea mfano. kulima, kufuga kuku,ng'ombe(yaani shughuli za uzalishaji mali) na mara baada ya kumaliza mkataba wako huo unaruhusiwa kurudi nyumbani na kuendelea na shughuli zako binafsi au kutafuta ajira sehemu yoyote.
 
mm nimegraduate tangu 2011, npo jeshin, nimejaribu kusema ukwel wa mambo, nafas za kujitolea jkt ztatoka tena mwakan, atakaeweza aingie, hasa graduate, nae atakuja kutoa ushahd wake siku moja.

kaka kama nakuelewa hiv mm intake ijayo naingia afu ni graduate wa education sasa ww toka 2011 bado upo mkataba wako c umeisha au?
 
kaka kama nakuelewa hiv mm intake ijayo naingia afu ni graduate wa education sasa ww toka 2011 bado upo mkataba wako c umeisha au?

Sasa si bora utafute pori uanzishe shamba lako mwenyewe kuliko kujitolea kuwafaidisha watu? Ha,ha,ha nakutania bana
 
kaka kama nakuelewa hiv mm intake ijayo naingia afu ni graduate wa education sasa ww toka 2011 bado upo mkataba wako c umeisha au?

yaan haya mambo ni matam ukiwa nje, ila ukiwa ndan ndo unaona hali halisi.
 
mm nimegraduate tangu 2011, npo jeshin, nimejaribu kusema ukwel wa mambo, nafas za kujitolea jkt ztatoka tena mwakan, atakaeweza aingie, hasa graduate, nae atakuja kutoa ushahd wake siku moja.

Naona hapa kuna ukweli flani hivi,,ila Mungu naamini atasaidia mi pia ni graduate na ninatamani sana kuingia huko. Kwani ni degree gani ambazo zinahitajika mara kwa mara huko..?
 
Naona hapa kuna ukweli flani hivi,,ila Mungu naamini atasaidia mi pia ni graduate na ninatamani sana kuingia huko. Kwani ni degree gani ambazo zinahitajika mara kwa mara huko..?

kaka mwanaume ni kupambana na usikubaliane na vitu vya kuambiwa ukakata tamaa kumbuka kila mtu ana bahati yake..kuhusu degree ni yeyote hawakatai
 
Back
Top Bottom