URASSA THE DON
Member
- Oct 12, 2010
- 70
- 7
Naomba kujuzwa zile note counters 17posts bank of tanzania (bot) wameshaita au bado
sio kwa wanawake tu ila uwe na elimu ya kidato cha nne na sio zaidi.zile post zilikuwa kwa ajili ya wanawake so mazee msije mkawa mnazisikilizia..........
ttz wasaka ajira TZ mkisoma tangazo mnaliamini moja kwa moja..ok lets wait and see..sio kwa wanawake tu ila uwe na elimu ya kidato cha nne na sio zaidi.