Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,043
- 134,324
Nimewazaaaaaaa,nikafikiri kuwa na mimi naweza kupost kama Polepole hapahapa JF
1. Leo nimeokota hela. Nakishukuru sana chama cha mapinduzi. Hii ndio CCM mpya buana (In H.Polepole's voice)
2. Hongera sana Diamond kwa kushinda tuzo za Afrima kwa mara nyingine. Hakika hii ni kazi adhimu ya CCM. (In H.Polepole's voice)
3. Mtandao wa Facebook umefikisha jumla ya watumiaji Bilioni 7 duniani kote. Hizi ni juhudi za chama cha mapinduzi. Hongera CCM Mpya. (In H.Polepole's voice)
4. Nyama ya kitimoto imedhibitishwa kuwa tamu kuliko nyama ya kuku. Hongera CCM Mpya kwa kazi hii kubwa.
5. Diamond kutoa laki 5 kwa wiki kwa Hamisa ni matunda ya CCM mpya.
Hebu na wewe jaribu kupost kama Humphrey Polepole!
Credit: Dr.Mabala
1. Leo nimeokota hela. Nakishukuru sana chama cha mapinduzi. Hii ndio CCM mpya buana (In H.Polepole's voice)
2. Hongera sana Diamond kwa kushinda tuzo za Afrima kwa mara nyingine. Hakika hii ni kazi adhimu ya CCM. (In H.Polepole's voice)
3. Mtandao wa Facebook umefikisha jumla ya watumiaji Bilioni 7 duniani kote. Hizi ni juhudi za chama cha mapinduzi. Hongera CCM Mpya. (In H.Polepole's voice)
4. Nyama ya kitimoto imedhibitishwa kuwa tamu kuliko nyama ya kuku. Hongera CCM Mpya kwa kazi hii kubwa.
5. Diamond kutoa laki 5 kwa wiki kwa Hamisa ni matunda ya CCM mpya.
Hebu na wewe jaribu kupost kama Humphrey Polepole!
Credit: Dr.Mabala
