MJERUMANI MDACHI
Member
- Jun 2, 2014
- 68
- 21
Umeongea point sana.mfano kama mtu amesomea LLB akaajiriwa TRA inambidi asome postgraduate ya TAXATION ili imsaidie kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.au umesomea LLB ukaajiriwa JUBILEE INSURANCE kama mwanasheria wao hivyo ili uwe competent unalazimika kupata general knowledge ya mambo ya insurance hivyo unalazimika kusomea postgraduate ya insurance.kwahiyo sio lazima mtu awe na gpa ndogo sometime.
Got u well!!