😂😂😂Mi nina videos za excell kama 80 hivi,kila siku nasoma,Excell ina mambo mengi sana,watu wanadhani excell ni kujua formula za sum,if n.k...kilichowahi nikuta kwenye interview flani siji sahau!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni ipo wapi mkuu? Japo ni muda mrefu umepita lakini naomba contact zao. Nilikupm last week naona kimyaUtanicheck DM, pia uandike na price yako ntakutumia contacts zao utawacheck direct
Kampuni ipo wapi mkuu? Japo ni muda mrefu umepita lakini naomba contact zao. Nilikupm last week naona kimya
Salamu wakuu!
Kuna jamaa yangu amenitext, ofisini kwao wanatafuta mtaalam wa kucheza na data (data analyst) wametangaza sana hiyo nafasi lakini bado hawajafanikiwa kupata
Kwahiyo kama unamfahamu mtu ambaye yuko vizuri kwenye excel ni PM nitakutumia contacts zao ukafanye nao interview.
Please note: kama unajua tu VLOOK UP na Pivot table/chart, au kudevelop basic formula za plus/minus, don't waste your precious time to even thinking of applying, na pia don't lie, kama unajua tu basic things sema but kwenye interview ukishajitambulisha tu jina lako unapewa laptop na data hapo hapo, on my experience wengi huchemka hapo, anapewa data then anatumia dk 20 kuzishangaa.......anatakiwa ambaye akipewa data anazisoma kwa dk 2 then ana produce report
Kwa kusisitiza, awe anajua kutengeneza templates, dashboards kwa kutumia slices (complex dashboards) in excel, power pivot na features kama hizo
Najua baadhi ambao wako vizuri, lakini ni wahindi na wakenya and natamani kazi kama hizi zianze kufanywa na watanzania ndo maana nkaipost hapa jukwaani
Lakini pia nivizuri kama haufahamu vizuri excel ukaanza kujifunza.....tulitoka analog tukaingia digital, sasa hivi tuna move kwenda kwenye data, and Data analysts ndo watakaokua wanatengeneza hela in five years to come.......!!!
All the best
Mkuu, inamaana tangazo lilipotoka ile mwaka jana, ukaamua uingie chimbo kisa mikwara ile ya VLOOK n.k!? Labda una bahati mkuu, pengine kazi ile bado ipo. Kila la kheri!!
Nimejiunga jf mwaka huu 2019 mkuuMbona mikwara mingi afu skills zenyewe zinazohitajika ni laini sana au kuna lingine limejificha?ipo wapi hiyo kazi?Salamu wakuu!
Kuna jamaa yangu amenitext, ofisini kwao wanatafuta mtaalam wa kucheza na data (data analyst) wametangaza sana hiyo nafasi lakini bado hawajafanikiwa kupata
Kwahiyo kama unamfahamu mtu ambaye yuko vizuri kwenye excel ni PM nitakutumia contacts zao ukafanye nao interview.
Please note: kama unajua tu VLOOK UP na Pivot table/chart, au kudevelop basic formula za plus/minus, don't waste your precious time to even thinking of applying, na pia don't lie, kama unajua tu basic things sema but kwenye interview ukishajitambulisha tu jina lako unapewa laptop na data hapo hapo, on my experience wengi huchemka hapo, anapewa data then anatumia dk 20 kuzishangaa.......anatakiwa ambaye akipewa data anazisoma kwa dk 2 then ana produce report
Kwa kusisitiza, awe anajua kutengeneza templates, dashboards kwa kutumia slices (complex dashboards) in excel, power pivot na features kama hizo
Najua baadhi ambao wako vizuri, lakini ni wahindi na wakenya and natamani kazi kama hizi zianze kufanywa na watanzania ndo maana nkaipost hapa jukwaani
Lakini pia nivizuri kama haufahamu vizuri excel ukaanza kujifunza.....tulitoka analog tukaingia digital, sasa hivi tuna move kwenda kwenye data, and Data analysts ndo watakaokua wanatengeneza hela in five years to come.......!!!
All the best
Kumbe ww ni mgeni humu!? Karibu sana aisee!!![]()
![]()
Nimejiunga jf mwaka huu 2019 mkuu
Nashukuru mkuuKumbe ww ni mgeni humu!? Karibu sana aisee!!
Unafahamu programme ya C#Nashukuru mkuu
Unamaanisha nini!?Unafahamu programme ya C#
Yes
Yes
C sharp
Hapana mkuu, najua VBA kiasi lakini kwenye pure excel ndo niko vizuri zaidiUnafahamu programme ya C#
OkeyHapana mkuu, najua VBA kiasi lakini kwenye pure excel ndo niko vizuri zaidi