Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

Excel ni uwanja wangu wa nyumbani, naku PM sasa hivi, kikubwa iwepo pesa ya kueleweka kuanzia 5M+
 
Utanicheck DM, pia uandike na price yako ntakutumia contacts zao utawacheck direct
Kampuni ipo wapi mkuu? Japo ni muda mrefu umepita lakini naomba contact zao. Nilikupm last week naona kimya
 
Mkuu, inamaana tangazo lilipotoka ile mwaka jana, ukaamua uingie chimbo kisa mikwara ile ya VLOOK n.k!? Labda una bahati mkuu, pengine kazi ile bado ipo. Kila la kheri!!
Kampuni ipo wapi mkuu? Japo ni muda mrefu umepita lakini naomba contact zao. Nilikupm last week naona kimya
 
Ina maana huzi qualification ulizo zisema ndio mmeshindwa kupata mtu. Tafuta vijana wa form IV training one year inatosha.. hata title ya manager inakujaje kwa kazi ndogo kama hizo.
Salamu wakuu!

Kuna jamaa yangu amenitext, ofisini kwao wanatafuta mtaalam wa kucheza na data (data analyst) wametangaza sana hiyo nafasi lakini bado hawajafanikiwa kupata

Kwahiyo kama unamfahamu mtu ambaye yuko vizuri kwenye excel ni PM nitakutumia contacts zao ukafanye nao interview.

Please note: kama unajua tu VLOOK UP na Pivot table/chart, au kudevelop basic formula za plus/minus, don't waste your precious time to even thinking of applying, na pia don't lie, kama unajua tu basic things sema but kwenye interview ukishajitambulisha tu jina lako unapewa laptop na data hapo hapo, on my experience wengi huchemka hapo, anapewa data then anatumia dk 20 kuzishangaa.......anatakiwa ambaye akipewa data anazisoma kwa dk 2 then ana produce report

Kwa kusisitiza, awe anajua kutengeneza templates, dashboards kwa kutumia slices (complex dashboards) in excel, power pivot na features kama hizo

Najua baadhi ambao wako vizuri, lakini ni wahindi na wakenya and natamani kazi kama hizi zianze kufanywa na watanzania ndo maana nkaipost hapa jukwaani

Lakini pia nivizuri kama haufahamu vizuri excel ukaanza kujifunza.....tulitoka analog tukaingia digital, sasa hivi tuna move kwenda kwenye data, and Data analysts ndo watakaokua wanatengeneza hela in five years to come.......!!!

All the best
 
Mkuu, inamaana tangazo lilipotoka ile mwaka jana, ukaamua uingie chimbo kisa mikwara ile ya VLOOK n.k!? Labda una bahati mkuu, pengine kazi ile bado ipo. Kila la kheri!!
Nimejiunga jf mwaka huu 2019 mkuu
 
Salamu wakuu!

Kuna jamaa yangu amenitext, ofisini kwao wanatafuta mtaalam wa kucheza na data (data analyst) wametangaza sana hiyo nafasi lakini bado hawajafanikiwa kupata

Kwahiyo kama unamfahamu mtu ambaye yuko vizuri kwenye excel ni PM nitakutumia contacts zao ukafanye nao interview.

Please note: kama unajua tu VLOOK UP na Pivot table/chart, au kudevelop basic formula za plus/minus, don't waste your precious time to even thinking of applying, na pia don't lie, kama unajua tu basic things sema but kwenye interview ukishajitambulisha tu jina lako unapewa laptop na data hapo hapo, on my experience wengi huchemka hapo, anapewa data then anatumia dk 20 kuzishangaa.......anatakiwa ambaye akipewa data anazisoma kwa dk 2 then ana produce report

Kwa kusisitiza, awe anajua kutengeneza templates, dashboards kwa kutumia slices (complex dashboards) in excel, power pivot na features kama hizo

Najua baadhi ambao wako vizuri, lakini ni wahindi na wakenya and natamani kazi kama hizi zianze kufanywa na watanzania ndo maana nkaipost hapa jukwaani

Lakini pia nivizuri kama haufahamu vizuri excel ukaanza kujifunza.....tulitoka analog tukaingia digital, sasa hivi tuna move kwenda kwenye data, and Data analysts ndo watakaokua wanatengeneza hela in five years to come.......!!!

All the best
Mbona mikwara mingi afu skills zenyewe zinazohitajika ni laini sana au kuna lingine limejificha?ipo wapi hiyo kazi?
 
Back
Top Bottom