pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Rushwa itapungua hata kesi zinazohusu uchaguzi zitapungua.
Je, ikifutwa wabunge gani wataumia?
Ikiletwa pendekezo la kuifuta wabunge wataunga mkono?
Naomba wabunge wamuunge Rais mkono kuondoa matumizi yasiyo na lazima, kwa kuwa mnapata posho ya kujikimu msipokee posho ya kukaa.
Je, ikifutwa wabunge gani wataumia?
Ikiletwa pendekezo la kuifuta wabunge wataunga mkono?
Naomba wabunge wamuunge Rais mkono kuondoa matumizi yasiyo na lazima, kwa kuwa mnapata posho ya kujikimu msipokee posho ya kukaa.