Posho ya vikao ikifutwa, 2020 tutakuwa na wabunge halali bungeni

pakaywatek

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
4,636
6,261
Rushwa itapungua hata kesi zinazohusu uchaguzi zitapungua.

Je, ikifutwa wabunge gani wataumia?

Ikiletwa pendekezo la kuifuta wabunge wataunga mkono?

Naomba wabunge wamuunge Rais mkono kuondoa matumizi yasiyo na lazima, kwa kuwa mnapata posho ya kujikimu msipokee posho ya kukaa.
 
Rushwa itapungua hata kesi zinazohusu uchaguzi zitapungua.
je ikifutwa wabunge gani wataumia? na ikiletwa pendekezo la kuifuta wabunge wataunga mkono?

naomba wabunge wamuunge rais mkono kuondoa matumizi yasiyo na lazima, kwa kuwa mnapata posho ya kujikimu msipokee posh ya kukaa.

Inatakiwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa ipunguzwe, halafu maslahi ya wataalam yaboreshwe. Hapo ndio tutapata wanasiasa committed na wataalam committed. Kinyume na hayo tutaendelea kushuhudia madaktari bingwa au "wabobezi" wakikimbilia kugombea udiwani au ubunge na kuacha sekta zao nyeti kwa maslahi ya mifuko yao. na tutaendelea kuona watu wakipigana vikumbo kwa fedha, nguvu na hata ushirikina ili wapate udiwani, ubunge, uwaziri, ukuu wa wilaya etc...

Maamuzi magumu yanahitajika.
 
Inatakiwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa ipunguzwe, halafu maslahi ya wataalam yaboreshwe. Hapo ndio tutapata wanasiasa committed na wataalam committed. Kinyume na hayo tutaendelea kushuhudia madaktari bingwa au "wabobezi" wakikimbilia kugombea udiwani au ubunge na kuacha sekta zao nyeti kwa maslahi ya mifuko yao. na tutaendelea kuona watu wakipigana vikumbo kwa fedha, nguvu na hata ushirikina ili wapate udiwani, ubunge, uwaziri, ukuu wa wilaya etc...

Maamuzi magumu yanahitajika.

Ni kweli kwa sababu wabunge wengi wanafika bungeni wana sign posho wanaondoka hivyo wakipunguziwa hizo posho hawatakimbilia tena ubunge.
 
Yaani dawa ya hawa wanaojiita wanasiasa wenye uchungu na nchi yao ni kufuta posho tu kuwe na masilahi ya kawaida tu, hapo ndipo tutapata wanasiasa willing kufanya siasa kweli kwa masilahi ya nchi, maana wanasiasa wapenda posho tarajia kuwa pia watapokea rushwa ili kusaini mikataba inayonyonya uchumi wa nchi yetu.
 
Aah ha ha haaaaa, hiyo green hapo mkuu...
Inatakiwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa ipunguzwe, halafu maslahi ya wataalam yaboreshwe. Hapo ndio tutapata wanasiasa committed na wataalam committed. Kinyume na hayo tutaendelea kushuhudia madaktari bingwa au "wabobezi" wakikimbilia kugombea udiwani au ubunge na kuacha sekta zao nyeti kwa maslahi ya mifuko yao. na tutaendelea kuona watu wakipigana vikumbo kwa fedha, nguvu na hata ushirikina ili wapate udiwani, ubunge, uwaziri, ukuu wa wilaya etc...

Maamuzi magumu yanahitajika.
 
Kuna kitu naomba mnisaidie. Hivi ukiondoa hizo posho je huwa wanapewa Per diems, if not, how will they survive while there?
 
Safari hii najua Zitto atakuja na hoja binafsi kuhusu hili jambo na atajenga hoja kwa kusema tumuunge mkono raisi wetu katika kubana matumizi.

Hiki kitakuwa kipimo kizuri kwa spika na wabunge wake.
 
Safari hii najua Zitto atakuja na hoja binafsi kuhusu hili jambo na atajenga hoja kwa kusema tumuunge mkono raisi wetu katika kubana matumizi.

Hiki kitakuwa kipimo kwa spika na wabunge wake.


Tena afanye timing mapema kabla hamasa ya kubana matumizi haijapoa, roho zutawasuta hawatajaribu kumpinga.
 
Rushwa itapungua hata kesi zinazohusu uchaguzi zitapungua.
je ikifutwa wabunge gani wataumia? na ikiletwa pendekezo la kuifuta wabunge wataunga mkono?

naomba wabunge wamuunge rais mkono kuondoa matumizi yasiyo na lazima, kwa kuwa mnapata posho ya kujikimu msipokee posh ya kukaa.

Kimsingi ubunge ni uwakilishi wa umma katika usimamizi wa serikali sio kazi ya kujipatia kipato, sio ajira ya kukimu maisha lakini kwa njaa za urais za sitta akageuza bunge kuwa kijiwe cha kupigia dili, sasa hivi mtu anacalculate atawekeza kiasi gani ili apate ubunge na atavuna kiasi gani.

leo hii mtu akipata ubunge anafanya sherehe na wanae kuwa umasikini sasa basi, inafikia sehemu mtu anazawadiwa nafasi za ubunge kwa msaada katika chama kwa maana nyingine ni kazi inayolipa. Leo watu wanahangaika kuhakikisha wake zao hawara zao wanapata ubunge waweze kulea familia zao.

Inapofika muda mtu anasema "kura ni mali" tena anaesema hivyo ni mfanyabiashara maarufu ukweli keshaona ni sehemu anaweza wekeza na kupata faida. Ifike sehemu ubunge iwe ni kazi ya kujitolea kwa mtu mwenye nia na malengo ya kujenga nchi, mtu awiwe kutoka rohoni kuwa anahitaji kulitumikia taifa.

Nusura na urais nao uwe biashara ya kuwekeza na hatimae kuvuna faida, tuwashukuru wazee wetu kuliona hili na kulivalia njuga, sasa wasiishie hapo walitizame na hili la ubunge watu kugeuza vitega uchumi.

Nilishangazwa sana eti mtu kazawadiwa viti maalum kwa kukiletea chama mafanikio, jambo la hovyo kabisa.
 
Safari hii najua Zitto atakuja na hoja binafsi kuhusu hili jambo na atajenga hoja kwa kusema tumuunge mkono raisi wetu katika kubana matumizi.

Hiki kitakuwa kipimo kwa spika na wabunge wake.

Hii agenda hakianani itamtoa sana kisiasa zitto na hivi kapata chapuo kutoka ccm lazima hoja ipite tu.
 
Hii agenda hakianani itamtoa sana kisiasa zitto na hivi kapata chapuo kutoka ccm lazima hoja ipite tu.

haijalishi hoja alete zito hau nani ni vyema mchujo ufanyike ili tujue mbunge ni nani na mpiga dili ni nani rais kaonyesha njia wabunge wamuunge mkono.
 
Nasubiri kuona yule mbunge wa ccm akipeleka hoja ya kubadilisha kanuni ili kuvuta hizo posho za makalio.
 
Yaani dawa ya hawa wanaojiita wanasiasa wenye uchungu na nchi yao ni kufuta posho tu kuwe na masilahi ya kawaida tu, hapo ndipo tutapata wanasiasa willing kufanya siasa kweli kwa masilahi ya nchi, maana wanasiasa wapenda posho tarajia kuwa pia watapokea rushwa ili kusaini mikataba inayonyonya uchumi wa nchi yetu.

Na hii itatusaidia kuondokana na wafanyabiashara wa siasa, watu kama Mbowe naamini watarudi kufanya u dj
 
Huu ni mtego mkubwa sana kwa chadema sijui kama watachomoka..
 
Back
Top Bottom