evance simon
New Member
- Jun 10, 2013
- 4
- 0
"....UZALENDO SI UMASIKINI, Wabunge wanapaswa kulipwa vizuri ili waweze kupigania maslahi ya watumishi wengine na kuwa2mikia wananchi...." Mimi hoja yangu ni kuwa pia UZALENDO huohuo SI UTAJIRI! Anayefanya kazi na ale ila asiyefanya kazi asile isipokuwa wale wote wasioweza kufanya kazi kwa7bu ya hitilafu ya na uwezo wa miili yao. Ijadiliwe ikifaa ipitishwe posho 7bu huwezi kukubali/kupinga bila 7bu za msingi. Wabunge watoe 7bu za msingi sana kudai posho . Af pia, kama swala ni wakiongezewa posho ndipo na watumishi wengine waongezewe basi sheria itungwe kuwa wabunge wakipandishiwa posho tu basi na watumishi nao mishahara yao ipandishwe.