Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

Hivi hizi Brevis hazina button unayoweza kubonyeza ikakuaonesha fuel consumption i.e ni 8 km/L kwenye ile navigation panel yake au? Maana Subaru Legacy za kuanzia 2003, Harrier model zote/klugger baadhi ya model, Crown za 2004 na kuendelea zote zinaonesha je kwa mliomiliki hizo Brevis hazina hio Option au maana wengi ni kama vile wanafanya makadirio
Hazina lakini kwenye screen inabadili mafuta yaliyopo kuwa kms, na geji yako pia itaendelea kusoma kama gari zingine. Uzuri wa brevis ukijua safari yako ni km ngapi huna hofu ya mafuta sababu kila kitu kinaonesha, mpaka namna unavyokanyaga mafuta inakueleza utatembea km ngapi kwa uendeshaji huo
 
Hazina lakini kwenye screen inabadili mafuta yaliyopo kuwa kms, na geji yako pia itaendelea kusoma kama gari zingine. Uzuri wa brevis ukijua safari yako ni km ngapi huna hofu ya mafuta sababu kila kitu kinaonesha, mpaka namna unavyokanyaga mafuta inakueleza utatembea km ngapi kwa uendeshaji huo
Binafsi napenda gari inayoonesha hivyo badala ya zile za kukadiria hii nusu tank nitatembea nayo kwa umbali fulani, ila kitu kilichonishangaza nimeona beforward inauzwa $1330-1900 hio ya $1330 ni ya 2007..mpaka nimevutiwa kulinunua maana Tanzania vitu vya bei poa ndo vyenyewe
 
Nunua tu Mkuu na kama umepungukiwa kidogo naweza kukuongezea
IMG-20190629-WA0001.jpeg
 
Kuna kitu watu wengi tunakosea pale tunapoamua kununua magari. Ni vigumu saana kupata gari lenye kila kitu unachohitaji in the same package. Ukitaka performance kwenye gari, jua utasacrifice fuel economy. Ukitaka fuel economy, performance ni tatizo. Ukitaka comfort, jua handling unapoteza. Na vingine kama hivyo. Na from experience, gari ambazo ni comfortable na luxurious mara nyingi zinakua na engine kubwa, sababu kuna vitu vingi saana vinavyoongeza uzito. eg power seat, seat heater, leather seats na vingine vingi. Pia gari luxurious zimetengenezwa kwa watu ambao kwao mahitaji sio pesa, so hawawazi saana mafuta.

Brevis ilitengenezwa kwa mtazamo huo. Kujaribu kuwapata Wajapan gari lenye comfort na performance ya compact executive salon za Ulaya kama 3 series, C class na A4. Ingawa haikufanya vizuri kwenye mauzo, na hiyo kazi ya kupambana na kina 3 series na C class ikaachiwa Lexus Is ambayo mwanzo (before 2005) ilikua haiuzi Japan kama lexus, bali Altezza. Pia kama jina lake Brevis linavyomaanisha, ni brief. So ilizalishwa kwa muda mfupi.

Sasa sisi hatufuatilii hayo yote. 1JZ na 2JZ engine zina matumizi makubwa kidogo ya mafuta kulinganisha na engine tulizozoea za kina Corolla na salon cars ndogo ndogo. Ndio maana tunalalamika. Vile demand kubwa ya used car ipo Africa, hizi gari zenye matumizi makubwa ya mafuta zinashuka bei saana sababu hatuziwezi. Wengi wetu kipato chetu ni kidogo.
Nikweli kabisa brevis ni gari ya umeme sana so haiwezi kuwa na engine ndogo.
 
Kuna kitu watu wengi tunakosea pale tunapoamua kununua magari. Ni vigumu saana kupata gari lenye kila kitu unachohitaji in the same package. Ukitaka performance kwenye gari, jua utasacrifice fuel economy. Ukitaka fuel economy, performance ni tatizo. Ukitaka comfort, jua handling unapoteza. Na vingine kama hivyo. Na from experience, gari ambazo ni comfortable na luxurious mara nyingi zinakua na engine kubwa, sababu kuna vitu vingi saana vinavyoongeza uzito. eg power seat, seat heater, leather seats na vingine vingi. Pia gari luxurious zimetengenezwa kwa watu ambao kwao mahitaji sio pesa, so hawawazi saana mafuta.

Brevis ilitengenezwa kwa mtazamo huo. Kujaribu kuwapata Wajapan gari lenye comfort na performance ya compact executive salon za Ulaya kama 3 series, C class na A4. Ingawa haikufanya vizuri kwenye mauzo, na hiyo kazi ya kupambana na kina 3 series na C class ikaachiwa Lexus Is ambayo mwanzo (before 2005) ilikua haiuzi Japan kama lexus, bali Altezza. Pia kama jina lake Brevis linavyomaanisha, ni brief. So ilizalishwa kwa muda mfupi.

Sasa sisi hatufuatilii hayo yote. 1JZ na 2JZ engine zina matumizi makubwa kidogo ya mafuta kulinganisha na engine tulizozoea za kina Corolla na salon cars ndogo ndogo. Ndio maana tunalalamika. Vile demand kubwa ya used car ipo Africa, hizi gari zenye matumizi makubwa ya mafuta zinashuka bei saana sababu hatuziwezi. Wengi wetu kipato chetu ni kidogo.
Nafikiri wenye akiri wamesha kuelewa sasa utaona mijitu inakuja kupinga hoja. Na wewe mdau ulie taka ushauri mtafute jamaa anaweza kuwa msaada sana.
 
Hizi gari Ziko very comfortable ila tatizo ni delicate sana body yake, zinakula sana mafuta na pia kuendesha zaidi ya miaka mitatu ni majaaliwa!

Hii gari hata Ukinunua Leo ukataka uiuze kesho still Bei utauza kwa Hasara sana, na wengi wanaonunua hizi ni wale wanaonunua gari kwa Mara ya kwanza kwny maisha Yao!
Sio kweli mkuu. Mimi Nina Brevis 1jz tangu 2015 na bado naitumia hapa mjini nankusafiri mikoani na haijawahi kunisumbua. Nilinunua ikiwa na 66,000km na sasa ina 158,000km. Nilibadili timing belt tu baada ya 100,000km
 
Sio kweli mkuu. Mimi Nina Brevis 1jz tangu 2015 na bado naitumia hapa mjini nankusafiri mikoani na haijawahi kunisumbua. Nilinunua ikiwa na 66,000km na sasa ina 158,000km. Nilibadili timing belt tu baada ya 100,000km
Mkuu Hiyo ukiamua kuuza hata kwa 1 million hutapata Mteja, km huamini jaribu!
Hizo sio Gari aisee, nikiona mtu amenunua Huwa namuonea huruma sana
 
Mkuu Hiyo ukiamua kuuza hata kwa 1 million hutapata Mteja, km huamini jaribu!
Hizo sio Gari aisee, nikiona mtu amenunua Huwa namuonea huruma sana
Bro kwa anayejua nagari 2.5l no gari ambayo engine yake no durable sana. Watu wanaogopa gharama za mafuta kwasababu za kiuchumi lakini so kwasababu ya ubovu wa gari. Mimi Brevis naimudu mafuta kwahiyo haina shida kabisa. Hata Mimi ukinipa vx v8 au BMW 7 series naweza shindwa gharama za mafuta na sio kusema gari inamatatizo mengine.
 
Engine imara, body mbovu...its absolutely nothing!

Binafsi nilishamiliki magari mengi Sana especially haya Madogo ya kufikia hadi 3000cc, kigezo cha fuel consumption Huwa Ni cha mwisho kabisa Katika kuchagua Gari ninalotaka...first Huwa Ni speed, siwezi kuendesha Gari yenye 180k/h, walau ianzie 260+. Mfano sasa Nina Volkswagen Touarage yenye 3200k/h.
Bro kwa anayejua nagari 2.5l no gari ambayo engine yake no durable sana. Watu wanaogopa gharama za mafuta kwasababu za kiuchumi lakini so kwasababu ya ubovu wa gari. Mimi Brevis naimudu mafuta kwahiyo haina shida kabisa. Hata Mimi ukinipa vx v8 au BMW 7 series naweza shindwa gharama za mafuta na sio kusema gari inamatatizo mengine.
 
Sio kweli mkuu. Mimi Nina Brevis 1jz tangu 2015 na bado naitumia hapa mjini nankusafiri mikoani na haijawahi kunisumbua. Nilinunua ikiwa na 66,000km na sasa ina 158,000km. Nilibadili timing belt tu baada ya 100,000km
Kwa injini inayotumia timing chain huwa haibadilishwi labda ikatike..na si rahisi...

Life span ya timing chain ni sawa na life span ya engine..
 
Magari ni kama wanawake...wewe unapomtongoza mwanamke mrembo umchezee siku tatu umtelekeze....kuna mwenzako anamtongoza mrembo na kumfanya mke wa maisha...

Ndivyo ilivyo kwenye magari...kuna mtu ananunua ili alitumie miaka hata 6 ikishapita hata akiuza laki tatu anakuwa hana hasara..kwa sababu kuna kittu kinaitwa depreciation value.

Lakini kuna wengine ananunua gari miezi mitatu analiuza.....
Watu wanatofautiana mitazamo...
Mkuu Hiyo ukiamua kuuza hata kwa 1 million hutapata Mteja, km huamini jaribu!
Hizo sio Gari aisee, nikiona mtu amenunua Huwa namuonea huruma sana
 
Engine imara, body mbovu...its absolutely nothing!

Binafsi nilishamiliki magari mengi Sana especially haya Madogo ya kufikia hadi 3000cc, kigezo cha fuel consumption Huwa Ni cha mwisho kabisa Katika kuchagua Gari ninalotaka...first Huwa Ni speed, siwezi kuendesha Gari yenye 180k/h, walau ianzie 260+. Mfano sasa Nina Volkswagen Touarage yenye 3200k/h.
Very true watu wengi wanaangalia mafuta na sio performance na comfortability.
 
Bro kwa anayejua nagari 2.5l no gari ambayo engine yake no durable sana. Watu wanaogopa gharama za mafuta kwasababu za kiuchumi lakini so kwasababu ya ubovu wa gari. Mimi Brevis naimudu mafuta kwahiyo haina shida kabisa. Hata Mimi ukinipa vx v8 au BMW 7 series naweza shindwa gharama za mafuta na sio kusema gari inamatatizo mengine.
Mkuu, 1L inaenda km Ngapi hasa mjini kwenye mifoleni?
 
Back
Top Bottom