Porojo za siasa za waraka, washindani wetu Afrika Mashariki wanazungumza na Dunia

Tupe kwanza faida za safari zaidi ya 400 za jk alizokuwa akienda huko na kukutana na hao jamaa kila mara??

Inasikitisha sana sana... Barabara ambazo zimejengwa awamu ya nne nyingi ni misaada kutoka kwa watu wa Marekani na European Union.
Miradi ya umeme kama REA nayo ni msaada..
Mzunguko wa hela uliokuwepo awamu ya nne kwa kiasi kikubwa ulichangiwa na investors kutoka nje, kule mtwara kwenye gas na lake zone kwenye madini..

Unapohudhuria vitu kama hivi unatengeneza mazingira ya dunia ijue una nini nyumbani kwako ili watu waje wawekeze, uwekezaji hauji tu hivihivi bure hapana lazima kuwe na mwanzo na mwanzo ni kuongea na watu au kuvutia watu waje kuwekeza..
 
..wakati serikali dhalimu ya tz inapambana na makanisa ambao ni wadau wakuu wa maendeleo ya Taifa hili viongozi makini wa afrika wanaziwakilisha nchi zao kwa umaskini kwenye dunia ya kwanza.......tz ni nchi tajiri inayopata laana toka kwa watawala dhalimu....so sad....
 
Haiingii akilini. Hivi hii mikutano hao watu wanaamua kwenda tu au wanaalikwa? Kuna mwaliko mualiko wa Tanzania umekataliwa? Afrika tuna nchi zaidi ya 55 na wengine wote hawakuona umuhimu wa mkutano huo kama Tanzania?
Kwa taarifa yenu ukiona umeitwa na hao jamaa kwanye mikutano yao ni kwenda kujibu maswali juu ya ufadhiri wao ktk nchi yako. (Rejea hotuba ya Mwalimu JK Nyerere akimuonea huruma Cleopa Msuya SURUBA ya kujieleza mbele ya wafadhiri hawa juu ya misaada anayoomba) na hukutani na hawa chini unakutana na wandamizimwao mtu
imrs.jpeg
 
Kambi rasmi ya Upinzani ilitolea tamko waraka wa kkkt;

Yeriko anaona hata viongozi wake hawana busara..

Maendeleo ni hatua na hata mambo kama haya ni Moja wapo ya hizo hatua..

Hao unaowaona wanafanya mambo ya maana walishazipitia hizi hatua kitambo..

Kenya tu hapo wameshauana sana kwa mambo yasiyokuwa na maana yeyote..

Hivyo Hakuna hoja yeyote Katika bandiko lako.
 
Tupe kwanza faida za safari zaidi ya 400 za jk alizokuwa akienda huko na kukutana na hao jamaa kila mara??
Kwa mtanzania kama wewe ni tabu sana kufahamu,Kikwete aliweka Tanzania katika ramani ya Dunia,Viongozi wakubwa wakubwa wa dunia walikuja Tanzania pamoja na wafanya biashara wakubwa wakubwa wa nchi zao..,kiasi ambacho majirani zetu Kenya wakaaza kuona vivu wamafanikio yetu

Katika tafrija kubwa ambao haijawahi kutokea Afrika ni pale Kikwetu alipowaalika wafanya biashara wa wakubwa wa wamerekani weusi kuja kufanya mkutano Arusha,..

Soko la Marekani nchi zinaligombania lakini katika nchi chache waliopewa kufanya biashara moja kwa moja na Marekani ,Tanzania ilikuwemo,nafikiri katika Afrika nzima kuna nchi kama tano tu zimepewa nafasi ya kufanya biashara moja kwa moja na Marekani,;;

Watanzania ni mambumbu wameshindwa kuitumia hiyo "Opportunity" tuliopea na Marekani,kwasababu ya watu kama wewe ambao hamjui vipi dunia inafanya kazi,hamuoni umuhimu wa raisi wa nchi kukutana na wenzake na kupanga maendeleo za nchi zao

Hayo ni machache tu..Mkuu
 
Sifikirii kama kua neema yoyote Wakenya watapendelea na sisi tupate,Uhusiano wa kibiashara sisi na majirani zetu sio mzuri hata kidogo...
Tangu lini uhusiano wa kibiashara ukawa mzuri? Hapa ndani kwetu wafanyabiashara hatupendani sisi kwa sisi tunapigana pini,tunalogana,tunapigana risasi na kufanyiana hila za kila aina. Unakumbuka ugomvi wa Manji vs Mengi?? Clouds vs Diamond?? Unafuatilia jinsi wafanya biashara wa Tanzanite wanavyouana kwa shaba Arusha??
 
Nchi haiwezi jengwa na viongozi wa huko duniani ...acheni kuishi kinadharia...nakubaliana na wewe kwamba ajenda ya kujadili dini ni upuuzi na nawachukia wapuuzi wanaotumia mimbari kujadili siasa.
Tufanye kazi ili kukuza uchumi na kamwe usitegemee G7-1 wanaweza kujadili lolote la manufaa kwa Tanzania.
 
Kwa mtanzania kama wewe ni tabu sana kufahamu,Kikwete aliweka Tanzania katika ramani ya Dunia,Viongozi wakubwa wakubwa wa dunia walikuja Tanzania pamoja na wafanya biashara wakubwa wakubwa wa nchi zao..,kiasi ambacho majirani zetu Kenya wakaaza kuona vivu wamafanikio yetu

Katika tafrija kubwa ambao haijawahi kutokea Afrika ni pale Kikwetu alipowaalika wafanya biashara wa wakubwa wa wameraekani weusi kuja kufanya mkutano Arusha,..

Soko la Marekani chini zinaligombania lakini katika nchi chache waliopewa kufanya biashara moja kwa moja na Marekani Tanzania ilikuwemo,nafikiri katika Afrika nzimakuna nchi kama tano tu zimepewa nafasi ya kufanya biashara moja kwa moja na Marekani,;;

Watanzania ni mambumbu wameshindwa kuitumia hiyo "Opportunity" tuliopea na Marekani,kwasababu ya watu kama wewe ambao hamjui vipi dunia inafanya kazi,hamuoni umuhimu wa raisi wa nchi kukutana na wenzake na kupanga maendeleo za nchi zao

Hayo ni machache tu..Mkuu
Wewe ndio mbumbumbu namba moja...hebu nitajie bidhaa ambazo zilitakiwa kuuzwa toka Tanzania kwenda USA kupitia huo mkutano VS bidhaa zinazotakiwa kuingizwa kutoka USA.
Acheni kuishi kwa makaratasi...be real
 
Hujaelewa kabisa hoja. Hoja ni kuwa tunaacha mambo ya muhimu badala uake tunahangaika na mambo ya kipuuzi kama yale ya kudhibiti nyaraka.
Wabunge wenu ndio vilaza wanaouthubutu kuongelea waraka bungeni...dunderheads
 
Kwa mtanzania kama wewe ni tabu sana kufahamu,Kikwete aliweka Tanzania katika ramani ya Dunia,Viongozi wakubwa wakubwa wa dunia walikuja Tanzania pamoja na wafanya biashara wakubwa wakubwa wa nchi zao..,kiasi ambacho majirani zetu Kenya wakaaza kuona vivu wamafanikio yetu

Katika tafrija kubwa ambao haijawahi kutokea Afrika ni pale Kikwetu alipowaalika wafanya biashara wa wakubwa wa wameraekani weusi kuja kufanya mkutano Arusha,..

Soko la Marekani chini zinaligombania lakini katika nchi chache waliopewa kufanya biashara moja kwa moja na Marekani Tanzania ilikuwemo,nafikiri katika Afrika nzimakuna nchi kama tano tu zimepewa nafasi ya kufanya biashara moja kwa moja na Marekani,;;

Watanzania ni mambumbu wameshindwa kuitumia hiyo "Opportunity" tuliopea na Marekani,kwasababu ya watu kama wewe ambao hamjui vipi dunia inafanya kazi,hamuoni umuhimu wa raisi wa nchi kukutana na wenzake na kupanga maendeleo za nchi zao

Hayo ni machache tu..Mkuu
Imeifikisha wapi tanzania kiuchumi zaidi ya kuishia mikataba isiyoinufaisha tanzania..umejaribu kufuatilia kuona hizo nchi tano zimenufaikaje kwa kutrade na america..na je america imenufaikaje?? Si kila kitu cha kukurupuka..je nguvu yako una uwezo wa kukabiliana nao kiuchumi..miaka kadhaa imepita mlikuwa mnalia kuhusu kenya kuchukua ajira na wakataka kuchukua ardhi hadi magufuli akagoma kusaini mkataba..eti leo mnataka kuendana na ulaya..si kila kitu cha kukimbilia ndugu..pale watu wapo kulinda nchi zao na kuangalia namna ya kuchuma from africa..umesahau pamoja na safari za bush tuliishia kupeana net.
 
Kwa mtanzania kama wewe ni tabu sana kufahamu,Kikwete aliweka Tanzania katika ramani ya Dunia,Viongozi wakubwa wakubwa wa dunia walikuja Tanzania pamoja na wafanya biashara wakubwa wakubwa wa nchi zao..,kiasi ambacho majirani zetu Kenya wakaaza kuona vivu wamafanikio yetu

Katika tafrija kubwa ambao haijawahi kutokea Afrika ni pale Kikwetu alipowaalika wafanya biashara wa wakubwa wa wameraekani weusi kuja kufanya mkutano Arusha,..

Soko la Marekani chini zinaligombania lakini katika nchi chache waliopewa kufanya biashara moja kwa moja na Marekani Tanzania ilikuwemo,nafikiri katika Afrika nzimakuna nchi kama tano tu zimepewa nafasi ya kufanya biashara moja kwa moja na Marekani,;;

Watanzania ni mambumbu wameshindwa kuitumia hiyo "Opportunity" tuliopea na Marekani,kwasababu ya watu kama wewe ambao hamjui vipi dunia inafanya kazi,hamuoni umuhimu wa raisi wa nchi kukutana na wenzake na kupanga maendeleo za nchi zao

Hayo ni machache tu..Mkuu
Tangu hao wafanyabiashara wamekuja kuna lolote ambalo tumewapita Kenya unaosema walikuwa wakituonea gere?? Hujui kuwa mwekezaji mkubwa kabisa wa hapa Tz ni Mkenya na siyo hao wezi wa dhahabu na kutusainisha mikataba ya kilaghai huku wakituacha hohehahe? Kwa taarifa yako tu; HAKUNA URAFIKI WA FAIDA kati ya mzungu na mwafrika,kama mzungu hafaidi zaidi yako huwezi kupata hata nafasi ya kupiga nae selfie!
 
Kama kuna cha maana hao wazungu wenyewe watakuja huku vizuri huku siku hizi wanajileta wenyewe
Poa kaka,lakini nafikiri watakimbilia Kenya,kwasababu Kenya ndivyo wanavyotaka,wakati wa Kikwete Wakenya walikuwa wanalia sana vipi Tanzania tulivyokuwa tunawapika katika "International Relations",na kumbuka ujio wa Obama Tanzania Wakenya walilalamika sana..

Unajua kuwa nafasi za kazi za "International Organizations" kama UNDP,UNICEF nk,zinakimbilia Kenya kwani Organizations hizo zimeanza kufungua Ofisi zao Kenya kwasababu za kuwahudumia nchi jirani!??unajua pesa za kigeni ngapi tunazikosa hapo!unajua kazi ngapi mtanzania anakosa hapo..

Tufikiri kwa mapana na marefu….ndio maana tunambiwa kuwa Waafrika IQ zetu ndogo,hatufikir na kuamua kwa uhalisia wa jambo,hisia zetu ndio zinazotufanya tutoe maamuzi yetu
 
Kaangalie utitiri wa viwanda vinavyojengwa Kenya hasa mji mpya wa Kitengela, linganisha na sisi wa Tanzania ya viwanda vya cherahani, ndipo utakapoona tofauti. Ni mambo kama haya tunayoyapuuza ndiyo yanayosababisha tuachwe nyuma. Dunia ya leo ili ufaidike na keki ya Dunia inategemea werevu wako wa namna ya wewe unavyojiingiza kwenye uchumi wa Dunia. Namna nyingine usahau.

Mkuu mkapa na baadae kikwete na kabla yao mwinyi wangeiingizaje Tanzania ili nasisi tufaidike na keki ya dunia.

Ni nani hasa alikuwa anastahili kutuingiza katika huo uchumi? Nani kati yao alivurunda? Alivurundaje? Huyu jiwe afanyeje ili tutoke?
Sorry, naona maswali mengi lakini nikisoma comments zako naona utakuwa more than willing kutolea ufafanuzi. Asante
 
Kuna watu humu JF naamini hata wakifanya mtihani wa darasa la saba ni lazima wafeli..

Yaani mtu hajui umuhimu wa mikutano hii ya G7,kwa nchi maskini kama tanzania!!!
 
Tangu hao wafanyabiashara wamekuja kuna lolote ambalo tumewapita Kenya unaosema walikuwa wakituonea gere?? Hujui kuwa mwekezaji mkubwa kabisa wa hapa Tz ni Mkenya na siyo hao wezi wa dhahabu na kutusainisha mikataba ya kilaghai huku wakituacha hohehahe? Kwa taarifa yako tu; HAKUNA URAFIKI WA FAIDA kati ya mzungu na mwafrika,kama mzungu hafaidi zaidi yako huwezi kupata hata nafasi ya kupiga nae selfie!
Maana ya neno "Mkataba" ni makubaliano ya pande mbili,umbumbu wa watanzania,au rushwa wa wale walitia saini hiyo mikataba ndio wakulaumiwa..,kama mikataba mikubwa mikubwa yenye tija na nchi inatiwa saini Hotelini na mtu mmoja labda waziri wa Tanzania,unafikiria matokeo yake yatakuwa nini..

Mfanyabiashara Maisha yote anavutia upande wake,akikuona umelala anatumia nafasi hiyo kujinufanisha..
 
Imeifikisha wapi tanzania kiuchumi zaidi ya kuishia mikataba isiyoinufaisha tanzania..umejaribu kufuatilia kuona hizo nchi tano zimenufaikaje kwa kutrade na america..na je america imenufaikaje?? Si kila kitu cha kukurupuka..je nguvu yako una uwezo wa kukabiliana nao kiuchumi..miaka kadhaa imepita mlikuwa mnalia kuhusu kenya kuchukua ajira na wakataka kuchukua ardhi hadi magufuli akagoma kusaini mkataba..eti leo mnataka kuendana na ulaya..si kila kitu cha kukimbilia ndugu..pale watu wapo kulinda nchi zao na kuangalia namna ya kuchuma from africa..umesahau pamoja na safari za bush tuliishia kupeana net.
Hahaha sasa unataka kumlaumu nani kwa hilo,wakulaumiwa ni watanzania wenyewe,Mkataba ni makubaliano ya pande mbili,kama unaona mkataba mbovu kwanini unaukubali!??watanzania ni mambumbu au rushwa imetuzidi...tafakari
 
Back
Top Bottom