This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,918
- 5,000
hivi ni sisi tunaihitaji G7 au ni G7 wanatuhitaji.Kama kupiga picha na Muzungu ndo maendeleo Afrika leo hii ingekuwa ni first World, Korea haimo hapo lkn ni tajiri mara 100 ya Rwanda na Kenya!