Porojo za jk kuhusu udini

Jile79

JF-Expert Member
May 28, 2009
17,668
13,237
Nilikuwa naangalia kwenye tv ya ITV mchana huu jk akihutubia taifa huko msoma.
-Amesema rushwa hata Yesu ilimshinda kuimaliza (matusi kwa wakristo)
-Amesema mitume wa kuabudiwa ni wawili tu yaani Muhammadi na Yesu (matusi mengine haya)
-Amesema wanaokosa nafasi za uwakilishi kwenye kura za maoni wasiwe na wasiwasi kwani kama wajuavyo kuna nafasi nyingi tu za upendeleo na kuonesha kuwa yuko serious na anachokisema anasema kuna nafasi kama Ukuu wa mikoa na wilaya na nafasi zingine huwa wanapewa wanaoshindwa hivyo kawashauri wasikihame chama...
Naomba tujadili kauli hizi za huyu rais wetu mimi zinanipa utata na wakati mgumu sana siamini kama tuna rais aliye serious na mambo ya nchi na imani za watu pia
 
Nilikuwa naangalia kwenye tv ya ITV mchana huu jk akihutubia taifa huko msoma.
-Amesema rushwa hata Yesu ilimshinda kuimaliza (matusi kwa wakristo)
-Amesema mitume wa kuabudiwa ni wawili tu yaani Muhammadi na Yesu (matusi mengine haya)
-Amesema wanaokosa nafasi za uwakilishi kwenye kura za maoni wasiwe na wasiwasi kwani kama wajuavyo kuna nafasi nyingi tu za upendeleo na kuonesha kuwa yuko serious na anachokisema anasema kuna nafasi kama Ukuu wa mikoa na wilaya na nafasi zingine huwa wanapewa wanaoshindwa hivyo kawashauri wasikihame chama...
Naomba tujadili kauli hizi za huyu rais wetu mimi zinanipa utata na wakati mgumu sana siamini kama tuna rais aliye serious na mambo ya nchi na imani za watu pia

Mkuu Tujadili Pumba?,
 
mimi binafsi ile hotuba ilivyotolewa ilionesha kabisa kuna kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa kwani jk anautukana ukristo kwa makusudi kwani hawezi kufananisha hizi dini mbili kwa kuwa hazifanani kabisa japo uislam ndiyo dini yake...kama kuna mtu haamini basi afutatilie kwani naamini ni lazima kutakuwa na marudio............hii iumetokea live wala chenga hamna....mwenye macho haambiwi....ila mwenye masikio anaweza kuambiwa tazama
 
kweli wewe kituko.......nilikuwa sijui vituko vyako vikoje kumbe ndivyo...........tunajadili mustakabali wa taifa kwa kiongozi kuamua kuweka maneno ya kukandia dini badala ya kutoa sera bora kwa taifa
Mkuu Tujadili Pumba?,
 
Back
Top Bottom