Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member May 24, 2013 3,564 1,989 Feb 9, 2016 #1 Watu wengine bwana eti mimi bingwa wa kukesha kwenye mitandao, mimi ni popo halafu ukiitwa popobawa unaanza kulialia.
Watu wengine bwana eti mimi bingwa wa kukesha kwenye mitandao, mimi ni popo halafu ukiitwa popobawa unaanza kulialia.
matamauruke JF-Expert Member Jan 18, 2016 348 211 Feb 9, 2016 #2 Haya wasubiri wenyewe wanaokesha wanakuja mi napita tu.
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member May 24, 2013 3,564 1,989 Feb 9, 2016 Thread starter #3 matamauruke said: Haya wasubiri wenyewe wanaokesha wanakuja mi napita tu. Click to expand... Unapita unaenda wapi?
matamauruke said: Haya wasubiri wenyewe wanaokesha wanakuja mi napita tu. Click to expand... Unapita unaenda wapi?
matamauruke JF-Expert Member Jan 18, 2016 348 211 Feb 9, 2016 #4 Naenda kulala mi sikeshi kwenye mitandao