Hatimae Argentina wameweza, tutaenjoy World cup ijayo!
Baba kuna miezi nane hapa katikati!!!! I think they need to have a new technical bench na consultative team ya kumanage team akiwemo Carlos Bilado!!
Kuna mawili i.Maradona awekwe benchi ii. wamwache ila wapangue benchi la ufundi na Maradona abadilishe aina ya ufundishaji, haya mambo ya kutegemea miujiza ya mwenyezi Mungu na vipaji binafsi yatamlostisha.