Pongezi ziwafikie azam Tv

Chinga One

JF-Expert Member
May 7, 2013
11,469
12,381
Leo nimerudi zangu home baada ya kukaa wiki nzima mashambani huko,nimewasha king'amuzi nimekuta mabadiliko makubwa karibia channel kibao za nje kama BET,Mtvbase,fox sports & entertainment,Mbc action etv africa etc zinaoneka kwa kifurushi cha 15,000.kipindi cha nyuma ilikua mpk ulipie 20,000.

kiroho safi kabisa naupongeza uongozi mzima wa Azam tv kwa maboresho haya ila yasiwe ya zima moto kwa ajili ya mwezi huu tu wa ramadhani nashauri iwe endelevu kwani kwa usawa huu 15,000 parefu sana haiendani na zile channel za kishamba mlizokua mnatupatia.
 
Leo nimerudi zangu home baada ya kukaa wiki nzima mashambani huko,nimewasha king'amuzi nimekuta mabadiliko makubwa karibia channel kibao za nje kama BET,Mtvbase,fox sports & entertainment,Mbc action etv africa etc zinaoneka kwa kifurushi cha 15,000.kipindi cha nyuma ilikua mpk ulipie 20,000.

kiroho safi kabisa naupongeza uongozi mzima wa Azam tv kwa maboresho haya ila yasiwe ya zima moto kwa ajili ya mwezi huu tu wa ramadhani nashauri iwe endelevu kwani kwa usawa huu 15,000 parefu sana haiendani na zile channel za kishamba mlizokua mnatupatia.
Mkuu hiyo ni ofa ya siku nne tu
 
Mimi mwenyewe sijalipia naangalia channel 190 bila malipo ni ofa ya ramadhani
 
Wamefanya machaguzi mazuri ya channels, ila tatizo vipindi vyake ni vya zamani kwenye hizo channels walizo ongeza kwenye BET, NatGeo Wild
Show za zamani mno, hapo ndio AzamTV wanapo kosea
 
Mkuu hiyo ni ofa ya siku nne tu
Mkuu hiyo ni ofa ya siku nne tu
Screenshot_2017-06-02-20-41-12-1.png
 
Wamefanya machaguzi mazuri ya channels, ila tatizo vipindi vyake ni vya zamani kwenye hizo channels walizo ongeza kwenye BET, NatGeo Wild
Show za zamani mno, hapo ndio AzamTV wanapo kosea

Mkuu kwenye dstv hivyo vipindi vyake ni vipya?
 
Tatizo lao kule kwenye sinema zetu wanatuwekea sinema za 2005 kurudi nyuma,sujui wanawaona wateja wao ni ma poyoyo!
Kama mnapita humu nyie azam tv,mimi nawaaambia tena kwa sauti msituwekee filamu za zamani kama hamtaki ondoeni hiyo chaneli,
 
Fafanua bosi...

Show ambazo mtu kama ulitazama dstv mwaka juzi unaziona leo hasa BET kama hiyo Real Husband of Hollywood episode zake ni za kitambo sana, pia National Geographic Channel show ambazo ni mpya ni za 2014...

Na AzamTV sio channel hizo tu wana channel kibao ambazo vipindi vyake ni vya zamani uliangalia mfurulizo utaona kila baada ya miezi kama minne show zinaanza kujirudia through out mwaka mzima... Fineliving ndio usiseme
 
Show ambazo mtu kama ulitazama dstv mwaka juzi unaziona leo hasa BET kama hiyo Real Husband of Hollywood episode zake ni za kitambo sana, pia National Geographic Channel show ambazo ni mpya ni za 2014...

Na AzamTV sio channel hizo tu wana channel kibao ambazo vipindi vyake ni vya zamani uliangalia mfurulizo utaona kila baada ya miezi kama minne show zinaanza kujirudia through out mwaka mzima... Fineliving ndio usiseme
kwa io azam ndo wanarusha hivyo vipindi au station husika au inakuaje kuaje? nieleweshe tena mkuu usichoke...
 
kwa io azam ndo wanarusha hivyo vipindi au station husika au inakuaje kuaje? nieleweshe tena mkuu usichoke...

Vinarushwa na channel husika, ila kuna wakati operator kama AzamTV anaweza kuwawekea DVDs mfano, ambazo ina matangazo na shows za channel husika.

Ndio maana unaweza ukatazama BET ya Azam ikawa tofauti na ya DSTV
 
Azam TV wanamambo ya kishamba sana kuna muda wanakera hadi unatamani utupe kisimbuzi chao
 
Wapuuzi tu
Tatizo lao kule kwenye sinema zetu wanatuwekea sinema za 2005 kurudi nyuma,sujui wanawaona wateja wao ni ma poyoyo!
Kama mnapita humu nyie azam tv,mimi nawaaambia tena kwa sauti msituwekee filamu za zamani kama hamtaki ondoeni hiyo chaneli,
 
Back
Top Bottom