Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,252
- 34,203
Kama ni kazi aliyopewa kikatiba vipi wale marais waliopita je walifanya ivyoo?
Hizi movie za ktoto za ccm tumezizoea sn ila mabashite hawashitukagi.................kungekuwa na uwezekana wa kutoa like 2 au tatu zaidi ningeamisha Like zote za kwenye ule uzi wa kupeana Likes nikupe.big up kwa maono mazuri kweli mtu mwenye nia ya kitu anaonekana kimatendo kama Magufuli angekuwa na nia,uchungu na uzalendo anaojifanya kuwa anao haya uliyayasema yasingekuwepo,ndio maana tunasema Rais aliyetokana na Mfumo wa CCM ni vigumu sana kwenda tofauti na mfumo ulio muweka madarakani.