APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 293
Sina maneno mengi sana ya kusema nimeona na kusikiliza clip moja hivi " Unasema kazi ya kwanza ni kushughulikia kupanda kwa madaraja ya watumishi wa umma Tanzania.
Kama ulichokisema ni dhamila yako ya dhati na Serikali ya Mhe, Rais Samia Suruhu Hassan imedhamilia kwa dhati, pokea hongera na pongezi kwa kuamua kuwapa haki na stahiki za wafanyakazi.
HONGERA mhe, Waziri hongera mhe Rais pia kwa hili.
Kama ulichokisema ni dhamila yako ya dhati na Serikali ya Mhe, Rais Samia Suruhu Hassan imedhamilia kwa dhati, pokea hongera na pongezi kwa kuamua kuwapa haki na stahiki za wafanyakazi.
HONGERA mhe, Waziri hongera mhe Rais pia kwa hili.