Umeshaanza mchezo huo unakazi.hamna kitu kibaya kama kujitekenya na kucheka mwenyewe.
kumbe ndio maana maendeleo hakuna miaka 50 unakuja na hoja ya hivi wakati mali zote waliojenga watz mmewazulumu.....pale moshi kuna ukumbi wa umoja wa vijana tangu mie mdogo ulikuwa unakodishwa kwa sherehe nk lakini pesa yake nani anachukuwa.
Meeku,
Una uhakika na ulichoandika?
Meeku,
Una uhakika na ulichoandika?
Wewe ni mpuuzi kweli mnaingiza shilingi ngapi?Mkuu kuna zaidi ya ukumbi!!
Kuna mpaka maduka/vibanda vya kukodisha.
hiyo miradi isije kuwa ni ile ya kubeba mabegi sanjari na biashara ya sembe uvccm?????
Kama wamejitambua ni jambo jema nikawaida ya vijana kuwatumikia wanachi.
Wewe ni mpuuzi kweli mnaingiza shilingi ngapi?
Haswa ukoo wa panya na ngedere mmefungua vijiwe vya
kuuzasembe',mirungi na gongo kuharibu vijana mnaita ni miradi ya maendeleo!
We una uhakika unachokinena?
wana JF,
Hoja hapa ni mafanikio waliyonayo vijana wa
UVCCM Moshi Mjini. Ni vyema tusiingize hoja tofauti.
Binafsi nimewasifu na nimependa mipango walio nayo
kwa vijana wenzao.
Hakika mnastaili pongezi.
JF,
Binafsi nimefurahishwa sana na utendaji kazi wa vijana wa ccm mjini Moshi.
Namna bora ya kujenga chama ni kwa kuanzia kwenye mashina/matawi nyie hilo mmefanikiwa. Sasa hivi kule SOWETO, MAJENGO, PASUA na sehemu nyingine vijana wana miradi. Hii ndio njia sahihi kujenga umoja.
Jambo sasa ni kujenga mshikamano huo, kwa ajili ya kazi kubwa iliyo mbele yenu ya 2014/2015 kurudisha Jimbo Nyumbani kwao.
Wiki ijayo tutakuwa Maswa kuangalia maendeleo mbali mbali, nawakaribisha sana.
NKUU SINDE, nduguyenu.
Ccm nakupenda nitakulinda dhidi ya wafedhuri chadema,cuf,nccr,nk Mungu ibaliki Tz ibariki ccm
Wengi wao wako kwenye vikundi vidogo vidogo!!
Na wanabiashara pamoja na miradi ya Vibanda.
Wako busy kuhangaika, na sio kupoteza muda kijiweni.
JF,
Binafsi nimefurahishwa sana na utendaji kazi wa vijana wa ccm mjini Moshi.
Namna bora ya kujenga chama ni kwa kuanzia kwenye mashina/matawi nyie hilo mmefanikiwa. Sasa hivi kule SOWETO, MAJENGO, PASUA na sehemu nyingine vijana wana miradi. Hii ndio njia sahihi kujenga umoja.
Jambo sasa ni kujenga mshikamano huo, kwa ajili ya kazi kubwa iliyo mbele yenu ya 2014/2015 kurudisha Jimbo Nyumbani kwao.
Wiki ijayo tutakuwa Maswa kuangalia maendeleo mbali mbali, nawakaribisha sana.
NKUU SINDE, nduguyenu.