Pongezi: UVCCM Moshi Mjini mmeonyesha njia!

Pongezi: UVCCM Moshi Mjini mmeonyesha njia!

NKUU SINDE KWETU

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
830
Reaction score
91
JF,
Binafsi nimefurahishwa sana na utendaji kazi wa vijana wa ccm mjini Moshi.

Namna bora ya kujenga chama ni kwa kuanzia kwenye mashina/matawi nyie hilo mmefanikiwa. Sasa hivi kule SOWETO, MAJENGO, PASUA na sehemu nyingine vijana wana miradi. Hii ndio njia sahihi kujenga umoja.

Jambo sasa ni kujenga mshikamano huo, kwa ajili ya kazi kubwa iliyo mbele yenu ya 2014/2015 kurudisha Jimbo Nyumbani kwao.

Wiki ijayo tutakuwa Maswa kuangalia maendeleo mbali mbali, nawakaribisha sana.

NKUU SINDE, nduguyenu.
 
JF,
Binafsi nimefurahishwa sana na utendaji kazi wa vijana wa ccm mjini Moshi.

Namna bora ya kujenga chama ni kwa kuanzia kwenye mashina/matawi nyie hilo mmefanikiwa. Sasa hivi kule SOWETO, MAJENGO, PASUA na sehemu nyingine vijana wana miradi. Hii ndio njia sahihi kujenga umoja.

Jambo sasa ni kujenga mshikamano huo, kwa ajili ya kazi kubwa iliyo mbele yenu ya 2014/2015 kurudisha Jimbo Nyumbani kwao.

Wiki ijayo tutakuwa Maswa kuangalia maendeleo mbali mbali, nawakaribisha sana.

NKUU SINDE, nduguyenu.
kila la,heri vijana
 
kumbe ndio maana maendeleo hakuna miaka 50 unakuja na hoja ya hivi wakati mali zote waliojenga watz mmewazulumu.....pale moshi kuna ukumbi wa umoja wa vijana tangu mie mdogo ulikuwa unakodishwa kwa sherehe nk lakini pesa yake nani anachukuwa.
 
JF,
Binafsi nimefurahishwa sana na utendaji kazi wa vijana wa ccm mjini Moshi.

Namna bora ya kujenga chama ni kwa kuanzia kwenye mashina/matawi nyie hilo mmefanikiwa. Sasa hivi kule SOWETO, MAJENGO, PASUA na sehemu nyingine vijana wana miradi. Hii ndio njia sahihi kujenga umoja.

Jambo sasa ni kujenga mshikamano huo, kwa ajili ya kazi kubwa iliyo mbele yenu ya 2014/2015 kurudisha Jimbo Nyumbani kwao.

Wiki ijayo tutakuwa Maswa kuangalia maendeleo mbali mbali, nawakaribisha sana.

NKUU SINDE, nduguyenu.

kwanza moshi mjini hakuna UVCCM watu wanakula CCM wana lala chadema hivi ndio babu ndesa alivyotufundisha na pili story ya moshi mjini anaijua mama minde alihonga mpaka akafilisika, sasa na nyie FAKE UVCCM hongeni , tena kuna kijana ntamtuma ajipendekeze apate ulaji.
 
Wengi wao wako kwenye vikundi vidogo vidogo!!
Na wanabiashara pamoja na miradi ya Vibanda.

Wako busy kuhangaika, na sio kupoteza muda kijiweni.

hebu weka mchakato mzima wa iyo miradi na mitaji iliyotolewa na uvccm hapo moshi na mafanikio ya kihesabu na ongezeko la faida husika.
hapa hakuna mtoto mdogo.
 
Tofauti ya bavich na uvccm ni kwamba bavicha ni watoto wa watz ilihali uvccm ni watoto wa panya buku au ngedere.
 
hebu weka mchakato mzima wa iyo miradi na mitaji iliyotolewa na uvccm hapo moshi na mafanikio ya kihesabu na ongezeko la faida husika.
hapa hakuna mtoto mdogo.

Sasa hapa JF hiyo ripoti haitatosha.

Kama uko tayari tembelea ofisi ya uvccm moshi mjini
 
Back
Top Bottom