PostGE2025 Pongezi Rais Samia Suluhu

PostGE2025 Pongezi Rais Samia Suluhu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,427
1765341625282.png
Leo dunia imejua mama anavyopendwa na kuheshimiwa.

Kwa hesima, tumekaa ndani tena kwa adabu kuliko wafungwa.
Tumesherehekea uhuru bila uhuru kama wafungwa kwa sababu ya kumtii na kumpenda tukiogopa kumuudhi.

Tumekubali kugeuzwa wafungwa ili kuonyesha heshima na uzalendo wetu.

Tumetulia hata wale walioikuwa wamepanga kuandamana kwa kuogopa kumuudhi mama yetu kipenzi na mpendwa mwenye maono na mtenda maajabu kama ambavyo ameonyesha leo.
Tumeweza kuonyesha tulivyo taifa la amani.

Haijawahi kutokea popote duniani.
Wageni washindwe. Kwanini pesa wawahonge vijana wetu badili ya kuwapa viongozi wetu?

Wajue kazi yao ni kutoa pesa za mikopo na misaada siyo ushauri wala kutukosoa. Uliona wapi?

Pia, tuwaonye diaspora wanaopenda kuunga mkono maandamano. Kazi yao ni kubeba maboksi na kuwekeza nyumbani lakini siyo kukosoa.

Hawajui kuwa baniani mbaya kiatu chake dawa?
Mama ziiii, sorry, hoyeeeeee!
 
Ngu
View attachment 3513730
Leo dunia imejua mama anavyopendwa na kuheshimiwa.
Kwa hesima, tumekaa ndani tena kwa adabu kuliko wafungwa.
Tumesherehekea uhuru bila uhuru kama wafungwa kwa sababu ya kumtii na kumpenda tukiogopa kumuudhi.
Tumekubali kugeuzwa wafungwa ili kuonyesha heshima na uzalendo wetu.
Tumetulia hata wale walioikuwa wamepanga kuandamana kwa kuogopa kumuudhi mama yetu kipenzi na mpendwa mwenye maono na mtenda maajabu kama ambavyo ameonyesha leo.
Tumeweza kuonyesha tulivyo taifa la amani.
Haijawahi kutokea popote duniani.
Wageni washindwe. Kwanini pesa wawahonge vijana wetu badili ya kuwapa viongozi wetu?
Wajue kazi yao ni kutoa pesa za mikopo na misaada siyo ushauri wala kutukosoa. Uliona wapi?
Pia, tuwaonye diaspora wanaopenda kuunga mkono maandamano. Kazi yao ni kubeba maboksi na kuwekeza nyumbani lakini siyo kukosoa. Hawajui kuwa baniani mbaya kiatu chake dawa?
Mama ziiii, sorry, hoyeeeeee!
Mnataka tena
 
Leo dunia imejua mama anavyopendwa na kuheshimiwa.

Kwa hesima, tumekaa ndani tena kwa adabu kuliko wafungwa.
Tumesherehekea uhuru bila uhuru kama wafungwa kwa sababu ya kumtii na kumpenda tukiogopa kumuudhi.

Tumekubali kugeuzwa wafungwa ili kuonyesha heshima na uzalendo wetu.

Tumetulia hata wale walioikuwa wamepanga kuandamana kwa kuogopa kumuudhi mama yetu kipenzi na mpendwa mwenye maono na mtenda maajabu kama ambavyo ameonyesha leo.
Tumeweza kuonyesha tulivyo taifa la amani.

Haijawahi kutokea popote duniani.
Wageni washindwe. Kwanini pesa wawahonge vijana wetu badili ya kuwapa viongozi wetu?

Wajue kazi yao ni kutoa pesa za mikopo na misaada siyo ushauri wala kutukosoa. Uliona wapi?

Pia, tuwaonye diaspora wanaopenda kuunga mkono maandamano. Kazi yao ni kubeba maboksi na kuwekeza nyumbani lakini siyo kukosoa.

Hawajui kuwa baniani mbaya kiatu chake dawa?
Mama ziiii, sorry, hoyeeeeee!
Mutasema sana mkuu. Maandamano hamukufanya na kwahivyo hamukupata nafasi ya
kuiba, kuharibu mali za umma na za watu binafsi na hamukupata fursa ya kuwaua askari halafu mukalilia kilio cha uongo.
 
Leo dunia imejua mama anavyopendwa na kuheshimiwa.

Kwa hesima, tumekaa ndani tena kwa adabu kuliko wafungwa.
Tumesherehekea uhuru bila uhuru kama wafungwa kwa sababu ya kumtii na kumpenda tukiogopa kumuudhi.

Tumekubali kugeuzwa wafungwa ili kuonyesha heshima na uzalendo wetu.

Tumetulia hata wale walioikuwa wamepanga kuandamana kwa kuogopa kumuudhi mama yetu kipenzi na mpendwa mwenye maono na mtenda maajabu kama ambavyo ameonyesha leo.
Tumeweza kuonyesha tulivyo taifa la amani.

Haijawahi kutokea popote duniani.
Wageni washindwe. Kwanini pesa wawahonge vijana wetu badili ya kuwapa viongozi wetu?

Wajue kazi yao ni kutoa pesa za mikopo na misaada siyo ushauri wala kutukosoa. Uliona wapi?

Pia, tuwaonye diaspora wanaopenda kuunga mkono maandamano. Kazi yao ni kubeba maboksi na kuwekeza nyumbani lakini siyo kukosoa.

Hawajui kuwa baniani mbaya kiatu chake dawa?
Mama ziiii, sorry, hoyeeeeee!

Pongezi kwa kuiba kura, kuteka na kuwauwa vijana wetu.
 
Back
Top Bottom