Pongezi kwenu wanaume mnaoimba kwaya. Wenzenu yametushinda

Pongezi kwenu wanaume mnaoimba kwaya. Wenzenu yametushinda

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,250
Reaction score
24,082
Nadhani moja ya kazi ngumu kabisa kwangu ambayo siwezi kufanya ni kuimba kwaya pamoja na kushona sare hasa za vitenge!.

Wanaume mnaimba kwaya mnastahili pongezi mwenzenu yameshanishinda.

Ile kusema tu nawahi zoezi la kwaya Daaah huwa nikisikoa mwanaume anasema hivyo hadi nastuka!

Kwamba wenzetu mnawezaje wakuu?
Wengine kwenda kwa fundi kushona suruali ya kitambaa ni mziki mwingine hii kwenu inawapa wepesi kivipi mnashona sare mfanano na wanawake.

Mara yangu ya kwanza na mwisho kuimba kwaya ni pale nahitimu darasa la saba. Niligundua habari za kwaya si pigo zangu.

Maana pamoja na kufundishwa style za kucheza siku ya mahafari niliona kabisa hii ni adhabu kubwa kwangu.

Anyway hongereni sana wenzenu hatuyawezi kwa hakika.
Screenshot_20251217_181203_Google.jpg
FB_IMG_1765984212758.jpg
 
😂 😂
Nadhani moja ya kazi ngumu kabisa kwangu ambayo siwezi kufanya ni kuimba kwaya pamoja na kushona sare hasa za vitenge!.

Wanaume mnaimba kwaya mnastahili pongezi mwenzenu yameshanishinda.

Ile kusema tu nawahi zoezi la kwaya Daaah huwa nikisikoa mwanaume anasema hivyo hadi nastuka!

Kwamba wenzetu mnawezaje wakuu?
Wengine kwenda kwa fundi kushona suruali ya kitambaa ni mziki mwingine hii kwenu inawapa wepesi kivipi mnashona sare mfanano na wanawake.

Mara yangu ya kwanza na mwisho kuimba kwaya ni pale nahitimu darasa la saba. Niligundua habari za kwaya si pigo zangu.

Maana pamoja na kufundishwa style za kucheza siku ya mahafari niliona kabisa hii ni adhabu kubwa kwangu.

Anyway hongereni sana wenzenu hatuyawezi kwa hakika.View attachment 3516712View attachment 3516713
Oyaaaaa dah 🤣🤣
 
inawapa wepesi kivipi mnashona sare mfanano na wanawake.
Nadhani kwa hili mwanaume analetewa tu ishashonwa baada ya mkewe kuchukua shati na suruali yake na kupeleka kwa fundi kuchukua vipimo na kushona.

Mwanaume akitakiwa aende personally kushonesha mbona watachoka kusubiri, labda kama ni upinde
 
Mimi miaka hiyo nilikuwa mwanakwaya kwa jambo moja tu
mademu!

Ila kwayamasta akanizidi kete alinizid speed pimbi yule
Anachomekea mkanda nje na moka zake akala mpaka mchepuko wa mch wetu
alikula mademu kwaya nzima!

Ngoja nikale ganja muda umefika.
 
Back
Top Bottom