Pongezi kwa Taifa Stars

Pongezi kwa Taifa Stars

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
1,289
Reaction score
2,190
Jana usiku kulikuwa na ufunguzi wa michezo ya CHAN baina ya Taifa stars na Burkina Fasso.

Hongereni sana Taifa Stars kwa kufanikwa kuwafunga timu ya Burkina Fasso magoli mawili kwa sifuri. Jana timu ilicheza kwa maelewano mazuri na ninatumaini kwa michezo inayofuata hawatatuangusha Watanzania. Mtaendeleza ushindi kama ilivyokuwa jana.

Hongereni sana.
 
Mbona mapema mno!!
Kazi ni kipimo cha utu
 
Ashukuriwe mama kwa kuhakikisha ushindi upo. Uwekezaji umejibu
 
Back
Top Bottom