jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Kwa dhati kabisa na kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu napenda kumpongeza mwandishi maarufu ndugu Kubenea kwa kuweza kutinga mjengoni.Pili napenda afikishe salamu zangu nyingi za pongezi kwa mkewe kwa kufanikiwa kuwa mmoja wa wabunge wa viti maalum (pongezi hizi ziwe pending mpaka nithibitishe)
Wote tuimbe mabadiliko ...kubenea ...kubenea...mabadiliko.
Wote tuimbe mabadiliko ...kubenea ...kubenea...mabadiliko.