Pongezi kwa Mkandarasi barabara Moro-Iringa

sir echa

Member
May 28, 2010
85
3
Kwa moyo safi kabisa napenda kumpongeza/kuwapongeza wakandarasi walioetengeneza na wanaomalizia barabara hiyo,nilikuwa nina muda kidogo sijapita njia hiyo leo ndo nimepita,ki ukweli sikuamini macho yangu jinsi barabara ilivyotulia hasa kipande cha kutoka mikumi hadi iringa kuna maeneo yalikuwa kero kupitiliza kiasi ambacho hata magari kupishana ilikuwa patashika,lakini leo nimepita magari yanapishana vizuri kabisa.

Tahadhari:
Wasimamizi na wakaguzi tunaomba wathibitishe ubora wa barabara hizo isijekuwa ni bomu ambalo litalipuka miaka michache ijayo,na wenye magari ya mizigo tunaomba wapitishe uzito ambao unastahili na kuzingatia matumizi bora ya barabara.
 
Ni kweli mkuu ile road kwa sasa naikubali viwango vyake naona vimetulia.Me nilikuwa napita hata wakati wanaitengeneza kwa kweli ilikuwa tofauti na zile za Igunga-Nzega (za Wachina)!Hii viwango vyake ni kama vya ile ya Nzega-Tinde-Shy mpaka mpakani mwa Shy na Mza.Wale wa-South Africa waliisuka haswa.
 
Kuna majamaa wanavunja lami nzuri ya zamani ndani ya hifadhi ya mikumi, na kuweka lami yao fake. Kwa kweli ukiona tu utashtuka.
 
Shukrani kwa niaba ya wenzangu lakini acha niwe mkweli,barabara inavutia ila subirini pot-holes za kutosha after 2 or 3 yrs.Tunajiandaa pia na kipande cha iringa-mafinga(km 69.8) kwa kiwango cha lami.Kwa hii ya mafinga angalau itakuwa bora kwa sababu jiwe litakalotumika ni zuri zaidi kuliko lile lililotumika kuanzia iringa-kitonga gorge-iyovi(km 159).
 
hahaha nimepita juzi,wanaojenga wamejipanga vifaa vya kutosha,nimependa hata mimi,wanastahili kupewa pongezi,ila wakazane.
 
]Balabala[/COLOR] imetulia ile mbaya cjuh kwa upande wa ubora.

Hapo pekundu !!!!

Sehemu waliyoniburudisha ni jinsi walivyopanua pale Ruaha Mbuyuni/Ilula na Check point, wameweka maegesho ya muda kwa magari makubwa na madogo kando ya barabara kiasi kwamba wanaopita moja kwa moja hawapati shida kama zamani.

Kutoka Ipogoro kwenda Iringa mjini wameweka fly over ili magari yapite juu na waenda kwa miguu wapite chini. Na wamama wabeba nyululu sasa wanavuka barabara kwa raha zao. Matuta yamezidi pale mlimani kuelekea Iringa mjini.
 
hahaha nimepita juzi,wanaojenga wamejipanga vifaa vya kutosha,nimependa hata mimi,wanastahili kupewa pongezi,ila wakazane.

Ile kambi yao imejengwa vizuri sana pale njiani,sijui wakishamaliza ujenzi tutaifanyia nini?
 
Mkuu ni iyovi kuja iringa town sio mikumi!
Jamaa wako vizuri na hata gharama zao ziko juu bse kwa km moja wanatumia atleast a billion wakati mchina wa iringa to mtera anatumia 700mil/km
Big up sana twangoja mkeka wa iringa to mafinga
Nb:hawa jamaa ndo walijenga chalinze to moro huwa hawabahatishi JV aarself interbeton
Na kuna package wanajenga kule sumbwanga.
I wish wangepewa nchi nzima
n
 
Pale hakuna ubabaishaji, imejengwa kwa viwango vya kimatafa nawahakikishieni itadumu kwa muda mrefu sana.
 
Wamejitahidi lakini wamejenga tangu nipo third year(2007/08) hadi sasa nimeshamaliza internship. Ngoja tusubiri itakaa miaka mingapi.
 
Ila mpaka sasa washaingia hasara ya. Zaidi ya 1.5billion kwa wizi wa mafuta,cement,guardrails,roada signs kufanywa scaper etc
Dr G jamaa walianza ujenzi 2009 na sasa wako ukingoni wanahamia ya kwenda mafinga
 
Ila mpaka sasa washaingia hasara ya. Zaidi ya 1.5billion kwa wizi wa mafuta,cement,guardrails,roada signs kufanywa scaper etcDr G jamaa walianza ujenzi 2009 na sasa wako ukingoni wanahamia ya kwenda mafinga
Boss si kweli mi naenda iringa kila likizo maeneo ya iyovi muda mrefu sana magari yanapishana tangu muda niliotoa hapo na uhakika, labda kama makandarasi wanabadilika
 
Kijana nina vijana wanafanya pale kama consultant cowi as of today bado km kam 3 kumalizia na wanacomission in two month time.
Ili wahamie hii ya mafinga i
 
Back
Top Bottom