Pongezi kwa jeshi la Polisi na kitengo cha usalama barabarani

DOFFA

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
425
233
Pamoja kasoro chache naona jeshi letu limebadilika sana kwa kuwa wakali barabarani na kufuatilia kwa karibu mienendo ya baadhi ya vyombo vya moto ambavyo watumiaji wake wanashindwa kufuata kanuni na sheria,hongera rais,hongera IGP,hongera Kamanda MPINGA.
USHAURI:Uwazi zaidi unahitajika hasa kwenye sheria za usalama barabarani na taarifa mpya kwa watumiaji wa vyombo vya moto mf.sticker na bei yake,viakisi mwanga n.k
NI VIZURI MAELEKEZO YOTE YA JESHI LA POLISI NA KITENGO CHA USALAMA BARABARANI YAPATIKANE KWENYE TOVUTI YA JESHI.
 
kabisa ni vyema mambo kama haya yanayogusa public mojakwamoja yawekwe Kwenye website ya polisi...
 
Sitaki hata kuwasikikia jana kidogo wanipe ukilema na kibodaboda changu kwa kunikimbiza na litororoo lao..
 
nyongeza kidogo: hakuna anaye simamia speed za magari ifikapo usiku, hivyo mabasi hukimbizwa kwa speed kubwa ifikapo usiku ili kufidia udhibiti wa speed wakati wa mchana, polisi kukusanya faini nyingi kutokana na makosa ya barabarani ni si ishara ya mafanikio bali kielelezo cha kushindwa kwa hali ya juu sana na pia ni ishara inayoonesha kuwa watumia barabara hawako salama hata kidogo kwani madereva wanakosea sana wawapo barabarani.
 
Back
Top Bottom