We jamaa wewe
MAANA YA PICHA
Tulia wewe Topolo nyuma mwiko.. Kwasasa tunaiwaza Fainali , ubingwa wa shirikisho na inshallah super Cup kati yetu sisi na Mamerlod au Pyramid..Baada ya hizo pongezi mrudi sasa ili tukutane uwanjani.
Offside yenyewe ya mchongo StellenBosch vs Makolokolo isiyoonesha kabla ya mpira kupigwa Wachezaji walikuwa kwenye positions gani ila baada ya kupigwa ndipo mstari unaonesha offside 🤣Mwamba anastahili pongezi kubwa sana! 🧤View attachment 3318423
Unwmuona msela wa zamani
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Mwamba anastahili pongezi kubwa sana! 🧤View attachment 3318423
Wewe endelea tu kuota ndoto za mchana. Ukija kushtuka, utakuta nguo zako zote zipo chapa chapa.Tulia wewe Topolo nyuma mwiko.. Kwasasa tunaiwaza Fainali , ubingwa wa shirikisho na inshallah super Cup kati yetu sisi na Mamerlod au Pyramid..
Ahsanta
Nyumbu mtaumia sanaaaaSisi ndiyo Simba SC AKA;
View attachment 33186831. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Malalamiko (Lia lia) SC.
4. Makelele SC.
5. Mipang'ang'a SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyang'au SC.
8. Manyaunyau (Mapaka) SC.
9. Mazumbukuku SC.
10. Mikia SC.
11. Mwakarobo SC.
12. Ngada SC
13. Zuwena SC.
14. Kufa kiume SC.
15. Kikanuni SC.
16. Panya Roads SC.
17. Bebwa bebwa (Mbeleko) SC.
18. Bahasha SC
19. 5imba SC.
20. Ubaya Ubwege SC.
21. Manguruwe SC.
22. Objective Football SC.
23. Mazombi SC.
24. Kolowizard SC.
25. Visingizio(Visababu)SC.
26. Wekundu wa Msimbazi.
Ila wewe mpare Una nongwa!!!!!
HabarI za muda huu dadaa! Leo umekunywa supu yenu ya vibudu kweli ? Maana naona unaandika kinyonge mno.Offside yenyewe ya mchongo StellenBosch vs Makolokolo isiyoonesha kabla ya mpira kupigwa Wachezaji walikuwa kwenye positions gani ila baada ya kupigwa ndipo mstari unaonesha offside
Makolokolo bila bahasha ni mwepesi kama kumsukuma Chapombe![]()
Hivi mshana unatoaga wapi hizi picha. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
naona ww sindano sio kukuingia vzr tu ila imekatikia kabisaSisi ndiyo Simba SC AKA;
View attachment 33186831. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Malalamiko (Lia lia) SC.
4. Makelele SC.
5. Mipang'ang'a SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyang'au SC.
8. Manyaunyau (Mapaka) SC.
9. Mazumbukuku SC.
10. Mikia SC.
11. Mwakarobo SC.
12. Ngada SC
13. Zuwena SC.
14. Kufa kiume SC.
15. Kikanuni SC.
16. Panya Roads SC.
17. Bebwa bebwa (Mbeleko) SC.
18. Bahasha SC
19. 5imba SC.
20. Ubaya Ubwege SC.
21. Manguruwe SC.
22. Objective Football SC.
23. Mazombi SC.
24. Kolowizard SC.
25. Visingizio(Visababu)SC.
26. Wekundu wa Msimbazi.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;naona ww sindano sio kukuingia vzr tu ila imekatikia kabisa
Sisi ndiyo Simba SC AKA;HabarI za muda huu dadaa! Leo umekunywa supu yenu ya vibudu kweli ? Maana naona unaandika kinyonge mno.
Si mlisema hamchezi nyie AuBaada ya hizo pongezi mrudi sasa ili tukutane uwanjani.