Pongezi kwa askari polisi wa Posta

Pongezi kwa askari polisi wa Posta

mkuu mimi hiyo imeniathiri hadi sasa nilipo nawachukia makondakta wa daladala! nawachukia kutoka moyoni.... walisababisha nlichelewa sana vipindi shuleni!!

Dah ni kweli mkuu ilkua purukushani enzi hzo ilifika hatua mpaka kupigana nao. Ila haina budi kuwasamehe na kuwa na utaratibu wa kuwasaidia wanafunzi wawapo vituoni,ili wasichelewe kama ulivokuwa unachelewa wew
 
ni kweli na umeshauri jambo lenye matokeo chanya, hili tatizo tunaweza kulimaliza iwapo tukiwakuta vituoni hasa asubuhi, na tuka kumbuka adha iliyotupata sisi kisha kuwasaidia japo watatu kila siku (if possible), huenda unaemsaidia leo nae kesho atakuwa mtu wa kusaidia wengine kadri ya maisha yanavyokwenda!!!
 
Jina lako tu linaonesha bado ni mtoto wa kiume na unavalia suruali chini ya makalio!


Kumaliza form four 2009 hakunifanyi kuwa mtoto kama unavyotaka niwe wew. By the way kuhusu mlegezo mbona huku town tunawaona wazee wengi tu mnavaa milegezo😨.
Note. Sivai mlegezo
 
Askari wetu wakifanya haya Leo ndio wanaanza kujijengea utamaduni mpya ambao hata hao wanafunzi wakikua huwezi kuwambia chochote kama askari wanamatatizo.kwa hili tumuombe kamanda kova atoe agizo kwa sakari wore nchini mpk jamii ifikie mahali izoe huu utamaduni. Tunawapingeza sana kwa hili na wawe wabunifu na mambo mengine ya kuisaidia jamii.
 
mimi juzi juzi nimeibiwa pochi pale posta karibu na ips mida ya saa moja na nusu sina hamu kabisa
 
Mkuu wameanza kuwa waungwana. Na walikua hawatanii kabisa. Mkononi wameshika bunduki kila dala dala linasimamishwa na kupangia wanafunzi.

Kipindi kile cha mgomo wa daladala huku mitihani ya form six ikiendelea kuna mmoja pale Makumbusho alikuwa anawakodishia bodaboda na bajaji ili wawahi mitihani!
 
Ni kweli mkuu. Ustaarabu kwenye madaladala ni sifuri kabisa. Imetokana na kuwa wengi wanaopanda wana tabia mbalimabli na ukichanganya na kazi tunazofanya hzi huku mjini.. Tupo kama machizi vile hakuna hata anayejali ustaarabu.
Ni kweli kabisa unachosema.

Kama itawezekana maAskari waingilie kati suala la kutupanga kwenye foleni kwa atakaeanza kufika awe ndie wa kwanza kupanda na anaefuatia na kuendelea.

Ustaarabu ukiwepo watu hata wawe wengi vipi watapanda kwa zamu bila kusukumana sukumana
 
saaaaafi sana msiwaponde askari mkaishia pabaya kama yule aliekamatwa kwa kusifia majambazi walioua askari kituo cha polisi stakishari...wakifanya mazuri tusifie jamani hakuna aliekamilika
 
Safi sana aisee.
Hata mi nimeona kwa jinsi wanavyojituma kupigania haki za wanafunzi.
 
Bravo!! Wenzetu wa Nairobi hii kitu ipo toka zamani. Ingekuwa vema sana ifanyike katika vituo vyote

Ni kweli kaka Saint Ivuga, Nairobi biashara ya abiria kupandana kwenye mabega eti wanapanda matatu hakuna. Ukifika kituoni unaunga line. Gari likifika mnaingia kwa foleni. Likijaa linaondoka kama hukufanikiwa kupanda basi unasubiri litakalofuata.

Hamna kupakana jasho. Nashindwa kuelewa Sumatra wanashindwa nini kuhakikisha utaratibu kama huu unakuwepo?

Tiba
 
Jamani, kova ni kamanda wa Dsm kanda maalum tu na sio wa nchi nzima. Kuna mdau hapo nimeona kamtaja kova atoe maagizo kwa askari polisi wa nchi nzima
 
Back
Top Bottom