moja ya wanachama hai wa uamusho ni maalim seif na mlinzi wake hivyo uamsho ni ccm b
Chadema hawakutoa judgement kuwa ponda anahusika ama hawakuhusika ktk uchomaji,iweje lipumba na kauli yake...anataka kudumisha udini as usual,poor Mtemi Pumba
Hajawa nkuu wa nchi anaingilia uhuru wa mahakama, akichukuwa nchi je? Bora amejianika mapema nndini huyo. Sasa kumetulia ndo anakoroga upya hali itibuke? Alikuwa wapi tangia mwanzo? Ponda aendelee kunyea ndoo mpaka ashike adabu tu, sie tumetulia Tanzania yeye anatuchakachua apate umaarufu, ebho!
Chadema hawakutoa judgement kuwa ponda anahusika ama hawakuhusika ktk uchomaji,iweje lipumba na kauli yake...anataka kudumisha udini as usual,poor Mtemi Pumba