kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,869
- 20,941
Achana na vitu cheap mkuu ! Hizo pombe sio salama kwa afya !!! Hivi vidude Ni hatari, Bora unywe bia, ukishindwa kvnt au konyagi!!
Take it or leave it
Take it or leave it
Mbona hujaweka Kitoko.Mpinzani wake mkuu Ni zedView attachment 1646151
Kitoko nusuMbona hujaweka Kitoko.
Ice. ina 42%Kiboko ya hizo pombe kali ndogo zoote ni DOUBLE KICK, ile ni gongo iliyothibitishwa na TBS aisee, kali sana..
Alafu yenyewe ina alcohol 43 % wakati hizo nyingine zote mwisho 40%...
Kuna bwana mmoja alipiga double kick tatu, alipoinuka kwenda toilet, ndipo alipojua kuwa hajui. Alikula mwereka mmoja hapohapo aliposimama na kuanzia hapo hakubahatika tena kusimama kwa miguu yake, ikawa kila akijaribu anajipigiza chini, mwisho wasamaria wema wanamtia kwenye mkokoteni kumsogeza kwa mkeweKiboko ya hizo pombe kali ndogo zoote ni DOUBLE KICK, ile ni gongo iliyothibitishwa na TBS aisee, kali sana..
Alafu yenyewe ina alcohol 43 % wakati hizo nyingine zote mwisho 40%...
Pole lakini hongera pia kwa kuendelea kuwepo kilingeni.Mkuu mimi bia zimeniketea shida ya kuoatwa na gasi hivyo kupelekea kupata ugojwa wa Acid Reflux so doctor kanishauri nitumie pombe kali kiasi so viceroy ni chaguo langu nikikosa kabisa basi Nyagi haikosekani ndani.
wakunywe whiskyAcheni pombe, kunyweni bia...🤸🤸
ahahha nitaitafuta nipate test yakeMpinzani wake mkuu Ni zedView attachment 1646151
Naona Winston kwa pembeni hapo...🙂Mpinzani wake mkuu Ni zedView attachment 1646151
Hizi pombe kali na za bei poa hazina cha positive wala nini....ni suala la muda tu. Ukiwa na nguvu(kijana) mwili unakuwa na uwezo wa kupambana na sumu yake, lakini kadri unavyozeeka mwili nao unashindwa unabaki dhooflihal.Pombe ukiitumia in positive itakupa matokea chanya
[emoji16][emoji16][emoji16] alizpiga kwa fujoKuna bwana mmoja alipiga double kick tatu, alipoinuka kwenda toilet, ndipo alipojua kuwa hajui. Alikula mwereka mmoja hapohapo aliposimama na kuanzia hapo hakubahatika tena kusimama kwa miguu yake, ikawa kila akijaribu anajipigiza chini, mwisho wasamaria wema wanamtia kwenye mkokoteni kumsogeza kwa mkewe
Mbona hujaweka Kitoko.
Weka mbali na watoto..kitokooooooo..siitaki hata bureKitoko nusuView attachment 1646152
Vijana tule pombe tukajenge uchumi wa taifaValuu pia ukitumia hutojuta, iko vyema sana
Ni 18Njee ya mada
Mkuu, dompo ina alcohol asilimia ngapi?
hii kutokana na lifestyle yamtu Kuna watu wanapiga Unga nawanaishi poa lakn kunawengine wako SobahouseHizi pombe kali na za bei poa hazina cha positive wala nini....ni suala la muda tu. Ukiwa na nguvu(kijana) mwili unakuwa na uwezo wa kupambana na sumu yake, lakini kadri unavyozeeka mwili nao unashindwa unabaki dhooflihal.
Unakuwa kama nusu-kichaa..unashindwa kuoga, nguo chafu,muda wote unaonekana umelewa(hata kama hujanywa wiki), kila pesa unayopata unafikiria Highlife tu na mengine mengi.
Kama ni lazima unywe, basi kunywa bia.
Kwa bia kama huna uwezo wa kutafuta pesa ya maana..basi hunywi.