CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 560
- 2,087
Siku ya Jana nikiwa na Rafiki Yangu mmoja wa kike, tukipiga stori za hapa na pale, Baadae tukafikia kwenye swala la mapenzi, Akaniambia yeye na Jamaa ake Ili wagegedane vizuri na kwa raha ambazo sio za kawaida basi huwa wanachapa ulaji kwanza kabla ya Mgegedano!!
Huyu amekuwa mwanamke wa tatu kuongea jambo kama hili... Kwa uzoefu wako Pombe ina chachu gani katika kunogesha hilo tendo pendwa?
N. B wapiga puli mkutane ukumbi wa Nkurumah
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu amekuwa mwanamke wa tatu kuongea jambo kama hili... Kwa uzoefu wako Pombe ina chachu gani katika kunogesha hilo tendo pendwa?
N. B wapiga puli mkutane ukumbi wa Nkurumah
Sent using Jamii Forums mobile app