pombe na nyege vimeniponza

As long as umekula mbususu haina shida pesa inatafutwa. Ila nakushangaa sayansi inadai kwamba pombe huwa inapunguza sex libido. Sijajua wewe umetumia pombe ipi ambayo ilikufanya mpaka ukapqndisha nyegera
 
Oy dogo nakuua, hela angu umekula? Nakudinya leo. Hayo yalikua majibu ya mweny tv
 
Weng hupoteza pesa wakilewa kwa kunywa konyag, kvant na vikali vingine, hazina adabu zile unaanza kununulia watu, mara ule mshangaz unaanza kuushobokea na kuomba collabo ya gest!
 
Aseeh mm nina nidhamu hasa upande wa kunywa pombe nikisema ni 20k ni hiyo no excuse sihitaji kampani wala demu wa kunichangamsha sina hela ya kununulia watu pombe hasa wenyewe nao wamelewa

Nakunywa kistaarabu mno smart and classy cc min -me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…