Wadau wanasema hii pic ni kwa ajili ya promo maana kalewa juu ana chupa ya kijani(kwenye meza) ndani ya gari(ana chupa rangi ya mende) huyu atakua wa bongo movie,continuity imewashinda,jaman njaa mbaya unajipakazia mlevi ili mradi utafute promo uuze kazi zako khaaaa
Mie naona ni Floppy tu....CD umeipandisha cheo.Star au CD?
Aina hii ya mastaa eti ndo picha aya jamii.