Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,059
- 4,055
Mi naona vyote vitamu sana, vyenye ladha tofauti sana.
Tena navipenda sana na kuvitumia sana.
Leo kaja kiongozi mmoja wa dini ananiambia niachane navyo, eti ni anasa.
Jamani anasa gani kula, kunywa na kuburudisha mwili?
Tena navipenda sana na kuvitumia sana.
Leo kaja kiongozi mmoja wa dini ananiambia niachane navyo, eti ni anasa.
Jamani anasa gani kula, kunywa na kuburudisha mwili?