deejaywillzz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 637
- 224
Habari wapendanao.
Nimekuwa najiuliza maswa kuna watu wanasema "mi nikinywa Amarula au Redds au Whisky nakuwa na hamu hatari" ila sasa kinachofuata inakuwa kama boyfriend wake au girlfriend wako hayupo karibu ananyanyua kifaa kingine.
Hivi ni kweli au watu wanatumia kama kisingizio?
Nimekuwa najiuliza maswa kuna watu wanasema "mi nikinywa Amarula au Redds au Whisky nakuwa na hamu hatari" ila sasa kinachofuata inakuwa kama boyfriend wake au girlfriend wako hayupo karibu ananyanyua kifaa kingine.
Hivi ni kweli au watu wanatumia kama kisingizio?