Polycarp Cardinal Pengo azidi kutishiwa

Status
Not open for further replies.
mkuu, hilo si jibu la matatizo yaliyopo hapa nchini. serikali ibaki kati na isiegemee upande wowote

mkuu kama hawataki kukemea tufanyeje, wamebaki kutoa matamko yaliyojaa taarabu tu....
kama vipi huu moto tuuzime kwa damu zetu kabla hawajaliza mda wao
 
Ngoja nitafute, najua kuna msikiti mmoja wa wakereketwa siwezi kuikosa.
 

Hivi madhaifu wako wangapi?
 
kikwete amekata mirija ya MOU na ndo maana maaskofu wamemchukia. wamefuta pia na ile kauli yao kuwa kikwete ni chaguo la mungu na askofu kilaini aliyetamka maneno hayo katupwa huko bukoba na ameambiwa asitokee kwenye media kuongea chochote

hahaha unafurahisha wewe mou iko palepale na bado wanapata vizuri misaada. kikwete is WEAKER than mwinyi sasa tena goigoi. na sisi ndo tunacholalamikia pamoja jk kuwa mwislam mwenzetu... hivi kaka fikiria kikwete siku zote anateua wachungaji kama wabunge lakin maimam wapo na wenye elimu lakini hajawai teua hata mmoja
 
mkuu kama hawataki kukemea tufanyeje, wamebaki kutoa matamko yaliyojaa taarabu tu....
kama vipi huu moto tuuzime kwa damu zetu kabla hawajaliza mda wao
moto umetapakaa dunia nzima utauzimaje?kama hata hao wenye nguvu hawawezi kuuzima.vitu vingine viko organised na mtu kama wewe is just a tool to reach the agenda.
 
Mungu kwa maksudi aliacha dini safi na ya kishetani zishindane lakini dini ya haki itajulikana mwishoni
 
mwinyi si muislam kasema kila mtu achinje na ale kile anachotaka ,tena lhaji kabisa!!sioni sababu yakugombea kuchinja wanalao jambo

Unakumbuka katika maadhimisho ya sherehe moja Pale mnazi mmoja alionywa kwa staili gani baada ya kutoa neno ambalo halipo hata katika mafundisho ya huo u-alhaji wake?.
 
Mungu kwa maksudi aliacha dini safi na ya kishetani zishindane lakini dini ya haki itajulikana mwishoni
exactly dini inayoua kwa makombora kutoka kwenye ndege za kisasa na aircraft carrier ndo ya haki.

Kwa ufupi mkuu huo mwisho utausubiri sana tu.wajukuu wako watapita na kuja wajukuu za wajukuu zako na bado utakua ukisubiri.
 
Vijana wanafanya 'MAZOEZI'makali? Inabidi sasa na upande wapili waanze 'MAZOEZI'makali maana huko tuendako sio kuzuri hata kidogo!
 
Kabla ya kuingia katika muktadha huu, ambao ni swala nyeti na linagusa moja kwa moja hisia za watu.....Nashauri vijana tusome kwanza, hapa sina maana kusoma magazeti, la hasha, na maana tusome ilmu za dini zetu(Ukristo na Uislam) tujue mafundisho yake na makatazo yake, hapo ndipo tutakua wanyenyekevu mbele ya M/Mungu na huruma miongoni mwetu. Tukifanya hayo tutaishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na kwa AMANI
 
kikubwa tu huyo alie toa hizo mikanda kama ni kweli anatakia kuhojiwa anamanisha nini kwa maneno yake
 
Watanzania tungekuwa wazalendo wa ukweli na tunajali na kuthamini sheria ya nchi inayosema serikali haina dini bali ni wananchi wake, NADHANI MALALAMIKO YA WAISLAMU KUWA BAKWATA NI YA SERIKALI NA HAINA UHALALI WA KUWAWAKILISHA WAISLAMU LINGESHAFANYIWA KAZI SIKU NYINGI. Ha hiyo ingekuwa ni moja ya suluhisho kwani leo hii ukitaka kuongea na Waislamu utatumia chombo gani? au watawaambia ma imamu wa kila msikiti nchi nzima?. Ingetakiwa kufuata mfumo walionao upande wa pili ambao wana chombo chao kinachoweza kusema kwa niaba ya waumini wao.

Siasa za Tanzania na BAKWATA tangu aondoke Hemed bin Jumaa zimekuwa za kiaina yake, ndio maana leo kila kona kuna maamuzi yake.
Please kama serikai kweli inajali uhuru wa waislamu iwaachie waendeshe wenyewe chombo chao (Mbadala wa BAKWATA) ambacho kitakuwa na uhalali wa kuwaongoza ikiwa ni pamoja na kushughulikia matatizo yao wanayolaumu kila siku huku wakidai hayasikilizwi.
 
ni vema vyombo vyetu vya dola na serikali kwa ujumla vikalishupalia swala hili kwa upekee wa aina yake ili kuleta usawa kwa watu wote.
 
exactly dini inayoua kwa makombora kutoka kwenye ndege za kisasa na aircraft carrier ndo ya haki.

Kwa ufupi mkuu huo mwisho utausubiri sana tu.wajukuu wako watapita na kuja wajukuu za wajukuu zako na bado utakua ukisubiri.

Vipi, unasema ile ndege iliyolipuwa New York twin Towers ile September eleven?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…