Poll:Dr.Willbraod Slaa vs Benard Membe

Poll:Dr.Willbraod Slaa vs Benard Membe

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,399
Reaction score
163,593
Kwa imani yangu hawa wawili ndio wanaweza kuwa wagombea uraisi wa nchi hii japo michakato bado inaendelea.

Najua disadvantage ya Membe inayotokana na kupingwa na wafuasi wa Lowassa kwenye NEC na Mkutano Mkuu lakini japo ni kura ndio zinaamua,bado naamini wenye sauti ni wenye chama na si wanachama.

Hivyo basi,sasa tufanye kama vile hao wawili ndio wemipita na kuwa wagombea kuwakilisha vyama vyao ambapo Dr.Slaa atasimama kwa ticket ya UKAWA na Bernard Membe kwa ticket ya CCM.

Je,ikitokea hivyo,kura yako utaampa nani kati ya hao 2 ili awe raisi wako wa awamu ya 5?

JF tuwe wa kwanza kuendesha kura ya maoni.
 
Kikwete na CC wamefanya KOSA kukata jina la Lowassa na kuacha jina Membe!

Mkutano mkuu wa CCM utafanya KOSA KUBWA kupitisha jina la Membe, kwani Membe atapigiwa kura za chuki na Pro Lowassa, hivyo kuifanya UKAWA kushinda kirahisi sana.

BTW, bado naona kuna mwendelezo wa mwa-CCM ukiwa waziri wa mambo ya nje, then you're a next president of URT
 
Je, Tume ya Uchaguzi na Jaji Lubuva yuko tayari na anao uwezo wa kumtangaza mshindi kutoka UKAWA? Lile bao la mkono aliloahidi Nape, Lubuva anao uwezo wa kusema sio bao halali au atatumika kuhalalisha bao haramu kuwa halali?

Vv
 
Slaa huwezi kumlinganisha na membe hata kupambanua mambo, kama c uelewa dogo wa watanzania wengi ni muda wa slaa
 
Je, Tume ya Uchaguzi na Jaji Lubuva yuko tayari na anao uwezo wa kumtangaza mshindi kutoka UKAWA? Lile bao la mkono aliloahidi Nape, Lubuva anao uwezo wa kusema sio bao halali au atatumika kuhalalisha bao haramu kuwa halali?

Vv

Hilo ndio tatizo na mwaka huu tujiandae kwa ghasia kubwa za uchaguzi.
 
Lubuva asaidie kuamua vzr kuona kuwa bao mkono halitoi ushindi upande wa pili
 
Jamani eee...! naomba msituvunjie heshima kwa RAIS wetu wa UKAWA. tunasubiri aapishwe tu. UCHAGUZI NI KUKAMILISHA RATIBA TU. NI SUALA LA MUDA
 
Kikwete na CC wamefanya KOSA kukata jina la Lowassa na kuacha jina Membe!

Mkutano mkuu wa CCM utafanya KOSA KUBWA kupitisha jina la Membe, kwani Membe atapigiwa kura za chuki na Pro Lowassa, hivyo kuifanya UKAWA kushinda kirahisi sana.

BTW, bado naona kuna mwendelezo wa mwa-CCM ukiwa waziri wa mambo ya nje, then you're a next president of URT

sasa mkuu unadhani magufuli anaweza kupita yeye amewekwa pale ili mradi tu
 
Back
Top Bottom