Politician best qoutation 2015

Politician best qoutation 2015

al-bauly

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
343
Reaction score
108
Kuanzia leo tutakuwa tukileta misemo mashuhuri ya wanasiasa wetu kwa mwaka huu wa uchaguzi 2015.

Weka msemo au misemo ilokuvutia hapo chini wakati wa ku comment.

"NASHANGAA PEMBE ZA TEMBO ZINASAFIRISHWA NCHINI KUPITIA UWANJA WA NDEGE, NASHANGAA SANA"- DR. JOHN. P. MAGUFULI.

"UKIENDA KUPIGA KURA TAREHE 25 JIULIZE, JANA NIMEMPELEKA MKE WANGU MJAA MZITO HOSPITALI NIKAAMBIWA NIPELEKE KIWEMBE NA SUFURIA, JE NASTAHIL HAYA" - JUMA HAJI DUNI.

Endeleza hapo chini mimi nimeanza na hiyo iloniingia akilini, ntakuwa naleta na ntakuwa makini kusikiliza hotuba.
 
Mimi na familia yangu tunakula mihogo na maharage lakini muda si mrefu tutajenga shule na hospitali, pesa za kujenga tutachangiwa na marafiki zetu
 
"Kuna ccm a na ccm b, nibora ukapigia kura ccm"- ali hassan mwinyi.
 
"unapokiondosha choo huko kiliko na kukipeleka chumbani, basi huko chumbani kutanuka zaid"-dr.slaa
 
Sio mimi ni "wenye nchi"
 

Attachments

  • 1441500501155.jpg
    1441500501155.jpg
    28.7 KB · Views: 283
Sitaki kusikia mtu anasema haiwezekani... Edward Lowasa - Elimu Bure mpka chuo kikuu
 
"Nauchukia umasikini, lakini sijui nitauondoaje"- Edward Lowassa
 
Ukimchukua malaika ukamweka CCM ndani ya mwezi mmoja anageuka kuwa shetani...James Lembeli
 
Kuanzia leo tutakuwa tukileta misemo mashuhuri ya wanasiasa wetu kwa mwaka huu wa uchaguzi 2015.

Weka msemo au misemo ilokuvutia hapo chini wakati wa ku comment.

"NASHANGAA PEMBE ZA TEMBO ZINASAFIRISHWA NCHINI KUPITIA UWANJA WA NDEGE, NASHANGAA SANA"- DR. JOHN. P. MAGUFULI.

"UKIENDA KUPIGA KURA TAREHE 25 JIULIZE, JANA NIMEMPELEKA MKE WANGU MJAA MZITO HOSPITALI NIKAAMBIWA NIPELEKE KIWEMBE NA SUFURIA, JE NASTAHIL HAYA" - JUMA HAJI DUNI.

Endeleza hapo chini mimi nimeanza na hiyo iloniingia akilini, ntakuwa naleta na ntakuwa makini kusikiliza hotuba.

KAMA UKAWA IMEWEZA KUMSAMEHE LOWASSA NA SIE TUMEISAMEHE CCM
KURA ZOTE KWA MAGUFURI~Wanainchi
 
"kama anakuja cdm, je ni liability au assets.." dr.mihogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom